Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 6:18 - Swahili Revised Union Version

18 Moyo uwazao mawazo mabaya; Miguu iliyo myepesi kukimbilia maovu;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 moyo unaopanga mipango miovu, miguu iliyo mbioni kutenda maovu,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 moyo unaopanga mipango miovu, miguu iliyo mbioni kutenda maovu,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 moyo unaopanga mipango miovu, miguu iliyo mbioni kutenda maovu,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 moyo uwazao mipango miovu, miguu iliyo myepesi kukimbilia uovu,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 moyo uwazao mipango miovu, miguu iliyo myepesi kukimbilia uovu,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

18 Moyo uwazao mawazo mabaya; Miguu iliyo myepesi kukimbilia maovu;

Tazama sura Nakili




Methali 6:18
11 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA akaona ya kuwa maovu ya mwanadamu ni makubwa duniani na kwamba kila kusudi analowaza moyoni mwake ni baya tu siku zote.


Huwaza maovu kitandani pake, Hujiweka katika njia mbaya; hauchukii ubaya.


Maana miguu yao huenda mbio maovuni, Nao hufanya haraka ili kumwaga damu.


Ushauri mbaya ni chukizo kwa BWANA; Bali maneno yapendezayo ni safi.


Kwa maana moyo wao hufikiri dhuluma, Na midomo yao huongea madhara.


Mtu afikiriye kutenda maovu, Watu watamwita mtundu;


Miguu yao hukimbilia mabaya, nao hufanya haraka kumwaga damu isiyo na hatia; mawazo yao ni mawazo ya uovu; ukiwa na uharibifu zaonekana katika njia zao kuu.


Ee Yerusalemu, jioshe moyo wako usiwe na uovu, upate kuokoka. Mawazo yako mabaya yatakaa ndani yako hata lini?


Ole wao wakusudiao mambo maovu, na kutenda mabaya vitandani mwao! Kunapopambazuka asubuhi huyafanya, sababu wana uwezo mikononi mwao.


wala mtu wa kwenu asiwaze mabaya moyoni mwake juu ya jirani yake; wala msipende kiapo cha uongo; maana hayo yote ndiyo niyachukiayo, asema BWANA.


Miguu yao ina mbio kumwaga damu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo