Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 21:23 - Swahili Revised Union Version

Mtu azuiaye kinywa chake na ulimi wake, Atajilinda nafsi yake na taabu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Achungaye mdomo wake na ulimi wake, hujiepusha na matatizo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Achungaye mdomo wake na ulimi wake, hujiepusha na matatizo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Achungaye mdomo wake na ulimi wake, hujiepusha na matatizo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Yeye alindaye kinywa chake na ulimi wake hujilinda na maafa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Yeye alindaye kinywa chake na ulimi wake hujilinda na maafa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mtu azuiaye kinywa chake na ulimi wake, Atajilinda nafsi yake na taabu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 21:23
9 Marejeleo ya Msalaba  

Ee BWANA, uweke mlinzi kinywani pangu, Mngojezi mlangoni pa midomo yangu.


Katika wingi wa maneno hapakosi kuwa na maovu; Bali yeye azuiaye midomo yake hufanya akili.


Katika kosa la midomo kuna mtego kwa mbaya; Bali mwenye haki atatoka katika taabu.


Yeye alindaye kinywa chake huilinda nafsi yake; Bali afunuaye midomo yake atapata uharibifu.


Njia kuu ya mwenye haki ni kujitenga na uovu; Yeye ashikaye njia yake huihifadhi nafsi yake.


Mauti na uzima huwa katika uwezo wa ulimi; Na wao waupendao watakula matunda yake.


Mtu akidhani ya kuwa anayo dini, wala hauzuii ulimi wake kwa hatamu, ili hali akijidanganya moyo wake, dini yake mtu huyo haifai.