Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 21:23 - Swahili Revised Union Version

23 Mtu azuiaye kinywa chake na ulimi wake, Atajilinda nafsi yake na taabu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Achungaye mdomo wake na ulimi wake, hujiepusha na matatizo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Achungaye mdomo wake na ulimi wake, hujiepusha na matatizo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Achungaye mdomo wake na ulimi wake, hujiepusha na matatizo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 Yeye alindaye kinywa chake na ulimi wake hujilinda na maafa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 Yeye alindaye kinywa chake na ulimi wake hujilinda na maafa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

23 Mtu azuiaye kinywa chake na ulimi wake, Atajilinda nafsi yake na taabu.

Tazama sura Nakili




Methali 21:23
9 Marejeleo ya Msalaba  

Ee BWANA, uweke mlinzi kinywani pangu, Mngojezi mlangoni pa midomo yangu.


Katika wingi wa maneno hapakosi kuwa na maovu; Bali yeye azuiaye midomo yake hufanya akili.


Katika kosa la midomo kuna mtego kwa mbaya; Bali mwenye haki atatoka katika taabu.


Yeye alindaye kinywa chake huilinda nafsi yake; Bali afunuaye midomo yake atapata uharibifu.


Njia kuu ya mwenye haki ni kujitenga na uovu; Yeye ashikaye njia yake huihifadhi nafsi yake.


Mauti na uzima huwa katika uwezo wa ulimi; Na wao waupendao watakula matunda yake.


Mtu akidhani ya kuwa anayo dini, wala hauzuii ulimi wake kwa hatamu, ili hali akijidanganya moyo wake, dini yake mtu huyo haifai.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo