Methali 16:17 - Swahili Revised Union Version17 Njia kuu ya mwenye haki ni kujitenga na uovu; Yeye ashikaye njia yake huihifadhi nafsi yake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema17 Njia ya wanyofu huepukana na uovu; anayechunga njia yake huhifadhi maisha yake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND17 Njia ya wanyofu huepukana na uovu; anayechunga njia yake huhifadhi maisha yake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza17 Njia ya wanyofu huepukana na uovu; anayechunga njia yake huhifadhi maisha yake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu17 Njia kuu ya wanyofu huepuka ubaya; yeye aichungaye njia yake, huchunga maisha yake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu17 Njia kuu ya wanyofu huepuka ubaya; yeye aichungaye njia yake, huchunga maisha yake. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI17 Njia kuu ya mwenye haki ni kujitenga na uovu; Yeye ashikaye njia yake huihifadhi nafsi yake. Tazama sura |