Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 2:12 - Swahili Revised Union Version

Ili kukuokoa na njia ya uovu, Na watu wanenao yaliyopotoka;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

vitakuepusha na njia ya uovu, na watu wa maneno mapotovu;

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

vitakuepusha na njia ya uovu, na watu wa maneno mapotovu;

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

vitakuepusha na njia ya uovu, na watu wa maneno mapotovu;

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hekima itakuokoa kutoka njia za waovu, kutoka kwa watu ambao maneno yao yamepotoka,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hekima itakuokoa kutoka njia za waovu, kutoka kwa watu ambao maneno yao yamepotoka,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ili kukuokoa na njia ya uovu, Na watu wanenao yaliyopotoka;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 2:12
19 Marejeleo ya Msalaba  

Moyo wa ukaidi utaondoka kwangu, Lililo ovu sitalijua.


Usiuelekeze moyo wangu kunako jambo baya, Nisiyazoelee matendo yasiyofaa, Pamoja na watu watendao maovu; Wala nisile vyakula vyao vya anasa.


Midomo ya mwenye haki huyajua yatakayokubaliwa; Bali kinywa chao wasio haki hunena ukaidi.


Nenda pamoja na wenye hekima, nawe utakuwa na hekima; Bali rafiki wa wapumbavu ataumia.


Macho yako yataona mambo mageni; Na moyo wako utatoa yaliyopotoka.


Mwenye kujitumainia moyo wake ni mjinga; Bali yeye aendaye kwa busara ataokolewa.


Maana mtu mjeuri ni chukizo kwa BWANA, Bali siri yake ni pamoja na wanyofu.


Mtu asiyefaa kitu, mtu wa uovu; Huenda njiani mwenye kinywa cha upotovu.


Kumcha BWANA ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia.


Enyi wajinga, acheni ujinga, mkaishi, Mkaende katika njia ya ufahamu.


tena katika ninyi wenyewe watainuka watu wakisema mapotovu, wawavute hao wanafunzi wawafuatie wao.


Msidanganyike; Mazungumzo mabaya huharibu tabia njema.


Kwa hiyo, Tokeni kati yao, Mkatengwe nao, asema Bwana, Msiguse kitu kilicho kichafu, Nami nitawakaribisha.