Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 9:6 - Swahili Revised Union Version

6 Enyi wajinga, acheni ujinga, mkaishi, Mkaende katika njia ya ufahamu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Achana na ujinga upate kuishi; fuata njia ya akili.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Achana na ujinga upate kuishi; fuata njia ya akili.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Achana na ujinga upate kuishi; fuata njia ya akili.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Acheni njia zenu za ujinga nanyi mtaishi; tembeeni katika njia ya ufahamu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Acheni njia zenu za ujinga nanyi mtaishi; tembeeni katika njia ya ufahamu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

6 Enyi wajinga, acheni ujinga, mkaishi, Mkaende katika njia ya ufahamu.

Tazama sura Nakili




Methali 9:6
17 Marejeleo ya Msalaba  

Enyi watenda mabaya, ondokeni kwangu, Niyashike maagizo ya Mungu wangu.


Sikia, binti, utazame, utege sikio lako, Uwasahau watu wako na nyumba ya baba yako.


Akubaliye kurudiwa huwa katika njia ya uzima; Bali yeye aachaye maonyo hukosa.


Nenda pamoja na wenye hekima, nawe utakuwa na hekima; Bali rafiki wa wapumbavu ataumia.


Sikia, mwanangu, uwe na hekima, Na kuuongoza moyo wako katika njia njema.


Nimekufundisha katika njia ya hekima; Nimekuongoza katika mapito ya unyofu.


Maana yeye anionaye mimi aona uzima, Naye atapata kibali kwa BWANA.


Maana, kwa msaada wangu siku zako zitazidishwa; Na miaka ya maisha yako itaongezwa.


ili waende katika amri zangu, na kuyashika maagizo yangu, na kuyatenda; nao watakuwa watu wangu, nami nitakuwa Mungu wao.


Na mtumishi wangu, Daudi, atakuwa mfalme juu yao, nao wote watakuwa na mchungaji mmoja; nao watayafuata maagizo yangu, na kuzishika amri zangu, na kuzitenda.


Jitahidini kuingia katika mlango ulio mwembamba, kwa maana nawaambia ya kwamba wengi watataka kuingia, wasiweze.


Akawashuhudia kwa maneno mengine mengi sana na kuwaonya, akisema, Jiokoeni na kizazi hiki chenye ukaidi.


Kwa hiyo, Tokeni kati yao, Mkatengwe nao, asema Bwana, Msiguse kitu kilicho kichafu, Nami nitawakaribisha.


Kisha nikasikia sauti nyingine kutoka mbinguni, ikisema, Tokeni kwake, enyi watu wangu, msishiriki dhambi zake, wala msipokee mapigo yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo