Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 101:4 - Swahili Revised Union Version

4 Moyo wa ukaidi utaondoka kwangu, Lililo ovu sitalijua.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Upotovu wowote ule uwe mbali nami; sitahusika kabisa na uovu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Upotovu wowote ule uwe mbali nami; sitahusika kabisa na uovu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Upotovu wowote ule uwe mbali nami; sitahusika kabisa na uovu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Moyo wa ukaidi utakuwa mbali nami; nitajitenga na kila ubaya.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Moyo wa ukaidi utakuwa mbali nami; nitajitenga na kila ubaya.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

4 Moyo wa ukaidi utaondoka kwangu, Lililo ovu sitalijua.

Tazama sura Nakili




Zaburi 101:4
15 Marejeleo ya Msalaba  

Enyi watenda mabaya, ondokeni kwangu, Niyashike maagizo ya Mungu wangu.


Sikai pamoja na watu waovu, Wala sitaingia kuwa pamoja na wanafiki.


Nimelichukia kusanyiko la watenda mabaya, Wala sitaketi pamoja na watu waovu.


Ondokeni kwangu, ninyi nyote mtendao uovu; Kwa kuwa BWANA ameisikia sauti ya kilio changu.


Wenye uhalifu moyoni ni chukizo kwa BWANA; Walio wakamilifu katika njia zao humpendeza.


Usifanye urafiki na mtu mwenye hasira nyingi; Wala usiende na mtu wa ghadhabu nyingi;


Mtu aliye dhalimu ni chukizo kwa wenye haki; Na mnyofu wa mwenendo ni chukizo kwa waovu.


Maana mtu mjeuri ni chukizo kwa BWANA, Bali siri yake ni pamoja na wanyofu.


Kumcha BWANA ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia.


Enyi wajinga, acheni ujinga, mkaishi, Mkaende katika njia ya ufahamu.


Ndipo nitawaambia dhahiri, Sikuwajua ninyi kamwe; ondokeni kwangu, ninyi mtendao maovu.


nami nikateremshwa ndani ya kapu, katika dirisha la ukutani, nikaokoka katika mikono yake.


Lakini msingi wa Mungu ulio imara umesimama, wenye mhuri huu, Bwana awajua walio wake. Na tena, Kila aliitaye jina la Bwana na auache uovu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo