Zaburi 101:5 - Swahili Revised Union Version5 Amsingiziaye jirani yake kwa siri, Huyo nitamwangamiza. Mwenye macho ya kiburi na moyo wa majivuno, Huyo sitamvumilia. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema5 Anayemsengenya jirani nitamfutilia mbali; sitamvumilia mwenye majivuno na kiburi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND5 Anayemsengenya jirani nitamfutilia mbali; sitamvumilia mwenye majivuno na kiburi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza5 Anayemsengenya jirani nitamfutilia mbali; sitamvumilia mwenye majivuno na kiburi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu5 Kila amsingiziaye jirani yake kwa siri, huyo nitamnyamazisha; mwenye macho ya dharau na moyo wa kiburi huyo sitamvumilia. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu5 Kila amsingiziaye jirani yake kwa siri, huyo nitamnyamazisha; mwenye macho ya dharau na moyo wa kiburi huyo sitamvumilia. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI5 Amsingiziaye jirani yake kwa siri, Huyo nitamwangamiza. Mwenye macho ya kiburi na moyo wa majivuno, Huyo sitamvumilia. Tazama sura |