Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 2:13 - Swahili Revised Union Version

13 Watu waziachao njia za unyofu, Ili kuziendea njia za giza;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 watu waziachao njia nyofu, ili kuziendea njia za giza;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 watu waziachao njia nyofu, ili kuziendea njia za giza;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 watu waziachao njia nyofu, ili kuziendea njia za giza;

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 wale wanaoacha mapito ya unyoofu, wakatembea katika njia za giza,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 wale waachao mapito yaliyonyooka wakatembea katika njia za giza,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

13 Watu waziachao njia za unyofu, Ili kuziendea njia za giza;

Tazama sura Nakili




Methali 2:13
21 Marejeleo ya Msalaba  

Wote wamepotoka, wameoza wote pamoja, Hakuna atendaye mema, La! Hata mmoja.


Maneno ya kinywa chake ni uovu na hila, Ameacha kuwa na akili na kutenda mema.


Hawajui wala hawafahamu, hutembea gizani; Misingi yote ya nchi imetikisika.


Mtu aikosaye njia ya busara Atakaa katika mkutano wao waliokufa.


Njia ya waovu ni kama giza; Hawajui ni kitu gani kiwakwazacho.


Njia ya amani hawaijui; wala hapana hukumu ya haki katika mienendo yao; wamejifanyia njia zilizopotoka; kila apitaye katika njia hizo hajui amani.


Mwenye haki atakapoghairi, na kuiacha haki yake, na kutenda uovu, akafa katika uovu huo; katika uovu wake alioutenda atakufa.


na hao waliorudi nyuma, na kuacha kumfuata BWANA; na hao wasiomtafuta BWANA, wala kumwulizia.


Palitokea mtu, ametumwa kutoka kwa Mungu, jina lake Yohana.


Basi Yesu akawaambia, Nuru ingaliko pamoja nanyi muda kidogo. Nendeni maadamu mnayo nuru hiyo, giza lisije likawaweza; maana aendaye gizani hajui aendako.


kwa sababu, walipomjua Mungu hawakumtukuza kama ndiye Mungu wala kumshukuru; bali walipotea katika uzushi wao, na mioyo yao yenye ujinga ikatiwa giza.


Maana Dema aliniacha, akiupenda ulimwengu huu wa sasa, akasafiri kwenda Thesalonike; Kreske amekwenda Galatia; Tito amekwenda Dalmatia.


Walitoka kwetu, lakini hawakuwa wa kwetu. Maana kama wangalikuwa wa kwetu, wangalikaa pamoja nasi. Lakini walitoka ili wafunuliwe kwamba si wote walio wa kwetu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo