Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 11:3 - Swahili Revised Union Version

Ukamilifu wao wenye haki utawaongoza Bali ukaidi wao wenye fitina utawaangamiza.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Unyofu wa watu wema huwaongoza, upotovu wa wenye hila huwaangamiza.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Unyofu wa watu wema huwaongoza, upotovu wa wenye hila huwaangamiza.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Unyofu wa watu wema huwaongoza, upotovu wa wenye hila huwaangamiza.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Uadilifu wa wenye haki huwaongoza, bali wasio waaminifu huangamizwa na hila yao.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Uadilifu wa wenye haki huwaongoza, bali wasio waaminifu huharibiwa na hila yao.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ukamilifu wao wenye haki utawaongoza Bali ukaidi wao wenye fitina utawaangamiza.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 11:3
13 Marejeleo ya Msalaba  

Ukamilifu na unyofu zinihifadhi, Maana nakungoja Wewe.


Ee BWANA, unihukumu mimi, Maana nimekwenda kwa ukamilifu wangu, Nami nimemtumaini BWANA bila wasiwasi.


Haki yake mtu mkamilifu itamwongoza njia yake; Bali mtu mwovu ataanguka kwa uovu wake.


Haki humlinda yeye aliye mnyofu katika njia yake; Bali ubaya humwangusha mwenye dhambi.


Upumbavu wa mtu hupotosha njia yake; Na moyo wake hununa juu ya BWANA.


Bali waovu watatengwa na nchi, Nao wafanyao hila watang'olewa.


Jeuri ya wabaya itawaondolea mbali; Kwa sababu wamekataa kutenda hukumu.


Macho ya BWANA humhifadhi mwenye maarifa; Bali huyapindua maneno ya mtu haini.


Aendaye kwa unyofu ataokolewa; Bali mkaidi wa njia zake ataanguka mara.


Usiwe mwovu kupita kiasi; Wala usiwe mpumbavu; Kwa nini ufe kabla ya wakati wako?


Lakini waasi na wenye dhambi wote wataangamizwa pamoja, nao wamwachao BWANA watateketezwa.


Nao wafalme wa Midiani wakawaua pamoja na watu wengine waliouawa; Evi, na Rekemu, na Suri, na Huri, na Reba, hao wafalme watano wa Midiani; Balaamu mwana wa Beori naye wakamwua kwa upanga.


Mtu akipenda kuyatenda mapenzi yake, atajua habari ya yale mafunzo, kwamba yatoka kwa Mungu, au kwamba mimi nanena kwa nafsi yangu tu.