Methali 28:18 - Swahili Revised Union Version18 Aendaye kwa unyofu ataokolewa; Bali mkaidi wa njia zake ataanguka mara. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 Aishiye kwa unyofu atasalimishwa, lakini mdanganyifu ataanguka kabisa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Aishiye kwa unyofu atasalimishwa, lakini mdanganyifu ataanguka kabisa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Aishiye kwa unyofu atasalimishwa, lakini mdanganyifu ataanguka kabisa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 Yeye ambaye mwenendo wake hauna lawama hulindwa salama, bali yeye ambaye njia zake ni potovu ataanguka ghafula. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 Yeye ambaye mwenendo wake hauna lawama hulindwa salama, bali yeye ambaye njia zake ni potovu ataanguka ghafula. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI18 Aendaye kwa unyofu ataokolewa; Bali mkaidi wa njia zake ataanguka mara. Tazama sura |