Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 28:18 - Swahili Revised Union Version

18 Aendaye kwa unyofu ataokolewa; Bali mkaidi wa njia zake ataanguka mara.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Aishiye kwa unyofu atasalimishwa, lakini mdanganyifu ataanguka kabisa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Aishiye kwa unyofu atasalimishwa, lakini mdanganyifu ataanguka kabisa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Aishiye kwa unyofu atasalimishwa, lakini mdanganyifu ataanguka kabisa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Yeye ambaye mwenendo wake hauna lawama hulindwa salama, bali yeye ambaye njia zake ni potovu ataanguka ghafula.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Yeye ambaye mwenendo wake hauna lawama hulindwa salama, bali yeye ambaye njia zake ni potovu ataanguka ghafula.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

18 Aendaye kwa unyofu ataokolewa; Bali mkaidi wa njia zake ataanguka mara.

Tazama sura Nakili




Methali 28:18
18 Marejeleo ya Msalaba  

Bali wao wanaozigeukia njia zao zilizopotoka, BWANA atawaondoa pamoja na watenda maovu. Amani ikae na Israeli.


Ukamilifu na unyofu zinihifadhi, Maana nakungoja Wewe.


Ila mimi nitakwenda kwa ukamilifu wangu; Unikomboe, unifanyie fadhili.


Kwa kuwa BWANA, Mungu, ni jua na ngao, BWANA atatoa neema na utukufu. Hatawanyima kitu chema Hao waendao kwa ukamilifu.


Kisulisuli kikiisha pita asiye haki hayuko tena; Bali mwenye haki ni msingi wa milele.


Kumcha BWANA kwaongeza siku za mtu; Bali miaka yao wasio haki itapunguzwa.


Aendaye kwa unyofu huenda salama; Bali apotoshaye njia zake atajulikana.


Kila mtu awapotezaye wenye haki katika njia mbaya, Ataanguka katika rima lake mwenyewe; Bali wakamilifu watarithi mema.


Afadhali maskini aendaye katika unyofu wake, Kuliko mpotovu wa njia angawa ni tajiri.


Balaamu akaondoka asubuhi, akatandika punda wake, akaenda pamoja na wakuu wa Moabu.


Malaika wa BWANA akamwambia, Mbona umempiga punda wako mara tatu hizi? Tazama mimi nimekuja ili kukupinga, kwa sababu njia yako imepotoka mbele zangu,


Malaika wa BWANA akamwambia Balaamu Nenda pamoja na watu hawa, lakini neno lile nitakalokuambia, ndilo utakalosema. Basi Balaamu akaenda pamoja na wakuu wa Balaki.


Lakini, nilipoona ya kuwa njia yao haiendi sawasawa na ile kweli ya Injili, nilimwambia Kefa mbele ya wote, Ikiwa wewe uliye Myahudi wafuata desturi za Mataifa, wala si za Wayahudi, kwa nini unawashurutisha Mataifa kufuata desturi za Wayahudi?


Wakati wasemapo, Kuna amani na salama, ndipo uharibifu uwajiapo kwa ghafla, kama vile uchungu umjiavyo mwenye mimba, wala hakika hawataokolewa.


Basi kumbuka jinsi ulivyopokea, na jinsi ulivyosikia; yashike hayo na kutubu. Lakini usipokesha, nitakuja kama mwizi, wala hutaijua saa nitakayokuja kwako.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo