Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 28:19 - Swahili Revised Union Version

19 Alimaye shamba lake atakuwa na chakula tele; Bali afuataye mambo ya upuzi atapata umaskini wa kumtosha.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Anayelima shamba lake atapata chakula kingi, bali anayefuata yasiyofaa atapata umaskini tele.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Anayelima shamba lake atapata chakula kingi, bali anayefuata yasiyofaa atapata umaskini tele.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Anayelima shamba lake atapata chakula kingi, bali anayefuata yasiyofaa atapata umaskini tele.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Yeye alimaye shamba lake atakuwa na chakula tele, bali yule afuataye mambo ya upuzi atakuwa na umaskini wa kumtosha.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Yeye alimaye shamba lake atakuwa na chakula tele, bali yule afuataye mambo ya upuzi atakuwa na umaskini wa kumtosha.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

19 Alimaye shamba lake atakuwa na chakula tele; Bali afuataye mambo ya upuzi atapata umaskini wa kumtosha.

Tazama sura Nakili




Methali 28:19
9 Marejeleo ya Msalaba  

Alimaye shamba lake atakuwa na chakula tele; Bali afuataye mambo ya upuzi hana ufahamu.


Nenda pamoja na wenye hekima, nawe utakuwa na hekima; Bali rafiki wa wapumbavu ataumia.


Zizi ni safi ambapo hapana ng'ombe; Bali nguvu za ng'ombe zaleta faida nyingi.


Usipende usingizi usije ukawa maskini; Fumbua macho yako nawe utashiba chakula.


Hivyo, umaskini wako huja kama mnyang'anyi, Na uhitaji wako kama mtu mwenye silaha.


Wakampa vipande vya fedha sabini vilivyotoka katika nyumba ya Baal-berithi, na kwa fedha hizo Abimeleki akaajiri watu wapuuzi mabaradhuli, wafuatane naye.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo