Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 11:5 - Swahili Revised Union Version

5 Haki yake mtu mkamilifu itamwongoza njia yake; Bali mtu mwovu ataanguka kwa uovu wake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Uadilifu wa watu wanyofu huinyosha njia yao, lakini waovu huanguka kwa uovu wao wenyewe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Uadilifu wa watu wanyofu huinyosha njia yao, lakini waovu huanguka kwa uovu wao wenyewe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Uadilifu wa watu wanyofu huinyosha njia yao, lakini waovu huanguka kwa uovu wao wenyewe.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Haki ya wasio na lawama, huwatengenezea njia iliyo nyofu, bali waovu huangushwa kwa uovu wao wenyewe.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Haki ya wasio na lawama, huwatengenezea njia iliyonyooka, bali waovu huangushwa kwa uovu wao wenyewe.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

5 Haki yake mtu mkamilifu itamwongoza njia yake; Bali mtu mwovu ataanguka kwa uovu wake.

Tazama sura Nakili




Methali 11:5
19 Marejeleo ya Msalaba  

Naye Ahithofeli alipoona ya kuwa ushauri wake haukufuatwa, akatandika punda wake, akaondoka, akaenda nyumbani kwake, mjini mwake, akaitengeneza nyumba yake, akajinyonga; akafa, akazikwa kaburini mwa babaye.


Hatua zake za nguvu zitasongwa, Na shauri lake mwenyewe litamwangusha chini.


Na hao hujiotea damu yao wenyewe, Hujinyemelea nafsi zao wenyewe.


Ukamilifu wao wenye haki utawaongoza Bali ukaidi wao wenye fitina utawaangamiza.


Mtu hatathibitika kwa njia ya uovu; Shina la mwenye haki halitaondolewa kamwe.


Haki humlinda yeye aliye mnyofu katika njia yake; Bali ubaya humwangusha mwenye dhambi.


Mtu mbaya husukumwa chini katika kutenda mabaya kwake; Bali mwenye haki ana matumaini katika kufa kwake.


Njia ya mtu mvivu ni kama boma la miiba; Bali mapito yao wenye unyofu hufanyika njia kuu.


Asiye haki huufanya uso wake kuwa mgumu; Bali mtu mnyofu huzifikiri njia zake.


Aendaye kwa unyofu ataokolewa; Bali mkaidi wa njia zake ataanguka mara.


Katika njia zako zote mkiri yeye, Naye atayanyosha mapito yako.


Maovu yake yeye yatampata mdhalimu, Naye atashikwa kwa kamba za dhambi zake.


Njia yake mwenye haki ni unyofu; Wewe uliye mnyofu wainyosha njia ya mwenye haki.


Na kiburi cha Israeli chamshuhudia mbele ya uso wake; kwa sababu hiyo, Israeli na Efraimu watajikwaa katika uovu wao. Yuda naye atajikwaa pamoja nao.


Ndipo watu wa Israeli wakageuka, na watu wa Benyamini walishtushwa; kwa kuwa waliona ya kwamba wamefikiwa na maafa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo