Methali 11:5 - Swahili Revised Union Version5 Haki yake mtu mkamilifu itamwongoza njia yake; Bali mtu mwovu ataanguka kwa uovu wake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema5 Uadilifu wa watu wanyofu huinyosha njia yao, lakini waovu huanguka kwa uovu wao wenyewe. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND5 Uadilifu wa watu wanyofu huinyosha njia yao, lakini waovu huanguka kwa uovu wao wenyewe. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza5 Uadilifu wa watu wanyofu huinyosha njia yao, lakini waovu huanguka kwa uovu wao wenyewe. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu5 Haki ya wasio na lawama, huwatengenezea njia iliyo nyofu, bali waovu huangushwa kwa uovu wao wenyewe. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu5 Haki ya wasio na lawama, huwatengenezea njia iliyonyooka, bali waovu huangushwa kwa uovu wao wenyewe. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI5 Haki yake mtu mkamilifu itamwongoza njia yake; Bali mtu mwovu ataanguka kwa uovu wake. Tazama sura |