Methali 11:6 - Swahili Revised Union Version6 Haki yao wenye haki itawaokoa; Bali wafanyao fitina watanaswa kwa hila yao wenyewe. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Uadilifu wa wanyofu huwaokoa na hatari, lakini wafitini hunaswa kwa tamaa zao wenyewe. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Uadilifu wa wanyofu huwaokoa na hatari, lakini wafitini hunaswa kwa tamaa zao wenyewe. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Uadilifu wa wanyofu huwaokoa na hatari, lakini wafitini hunaswa kwa tamaa zao wenyewe. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Haki ya wanyofu huwaokoa, bali wasio waaminifu hunaswa na tamaa mbaya. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Haki ya wanyofu huwaokoa, bali wasio waaminifu hunaswa na tamaa mbaya. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI6 Haki yao wenye haki itawaokoa; Bali wafanyao fitina watanaswa kwa hila yao wenyewe. Tazama sura |