Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 11:7 - Swahili Revised Union Version

7 Mtu mwovu atakapokufa, taraja lake linapotea; Na matumaini ya uovu huangamia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Mwovu akifa tumaini lake nalo hutoweka; tazamio la asiyemcha Mungu huishia patupu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Mwovu akifa tumaini lake nalo hutoweka; tazamio la asiyemcha Mungu huishia patupu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Mwovu akifa tumaini lake nalo hutoweka; tazamio la asiyemcha Mungu huishia patupu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Matumaini yaliyo katika wanadamu hufa pamoja nao; ahadi zote za uwezo wao hubatilika.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Wakati mtu mwovu anapokufa, matumaini yake hutoweka; yote aliyoyatazamia kutokana na nguvu zake huwa si kitu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

7 Mtu mwovu atakapokufa, taraja lake linapotea; Na matumaini ya uovu huangamia.

Tazama sura Nakili




Methali 11:7
11 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini macho ya waovu yataingia kiwi, Nao hawatakuwa na njia ya kukimbilia, Na matumaini yao yatakuwa ni kutoa roho.


Asiye haki ataona na kusikitika, Atasaga meno yake na kuondoka, Matumaini ya wasio haki hupotea.


Pumzi yake inapomtoka, anarudi katika udongo wake, Siku iyo hiyo mipango yake hutoweka.


Matumaini yao wenye haki yatakuwa furaha; Bali matarajio yao wasio haki yatapotea.


Njia ya BWANA ni kimbilio lake mtu mkamilifu; Bali ni uharibifu kwao watendao maovu.


Mwenye haki huokolewa katika dhiki, Na mtu mwovu ataiingia badala yake.


Mtu mbaya husukumwa chini katika kutenda mabaya kwake; Bali mwenye haki ana matumaini katika kufa kwake.


Je! Utazidi kusema mbele yake huyo akuuaye, Mimi ni mungu? Lakini u mwanadamu, wala si Mungu, mkononi mwake akutiaye jeraha.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo