Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 11:8 - Swahili Revised Union Version

8 Mwenye haki huokolewa katika dhiki, Na mtu mwovu ataiingia badala yake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Mtu mnyofu huokolewa katika shida, na mwovu huingia humo badala yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Mtu mnyofu huokolewa katika shida, na mwovu huingia humo badala yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Mtu mnyofu huokolewa katika shida, na mwovu huingia humo badala yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Mtu mwenye haki huokolewa kutoka taabu, naye mtu mwovu huingia humo badala yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Mtu mwenye haki huokolewa kutoka taabu, naye mtu mwovu huingia humo badala yake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

8 Mwenye haki huokolewa katika dhiki, Na mtu mwovu ataiingia badala yake.

Tazama sura Nakili




Methali 11:8
9 Marejeleo ya Msalaba  

Na wokovu wa wenye haki una BWANA; Yeye ni ngome yao wakati wa taabu.


Mtu mwovu atakapokufa, taraja lake linapotea; Na matumaini ya uovu huangamia.


Asiyemcha Mungu humpoteza jirani yake kwa kinywa chake; Bali wenye haki watapona kwa maarifa.


Katika kosa la midomo kuna mtego kwa mbaya; Bali mwenye haki atatoka katika taabu.


Mtu asiye haki ni fidia ya wenye haki; Naye afanyaye hila ni badala ya watu wa adili.


Ndipo mfalme Dario akawaandikia watu wa kabila zote, na taifa zote, na lugha zote, waliokaa juu ya uso wa dunia; Amani na iongezeke kwenu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo