Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 10:5 - Swahili Revised Union Version

Akusanyaye wakati wa joto ni mwana mwenye hekima; Bali asinziaye wakati wa mavuno ni mwana mwenye kuaibisha.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mwenye busara hukusanya wakati wa mavuno, kulala wakati wa kuvuna ni aibu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mwenye busara hukusanya wakati wa mavuno, kulala wakati wa kuvuna ni aibu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mwenye busara hukusanya wakati wa mavuno, kulala wakati wa kuvuna ni aibu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Yeye akusanyaye mazao wakati wa kiangazi ni mwana mwenye hekima, lakini yeye alalaye wakati wa mavuno ni mwana mwenye kuaibisha.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Yeye akusanyaye mazao wakati wa kiangazi ni mwana mwenye hekima, lakini yeye alalaye wakati wa mavuno ni mwana mwenye kuaibisha.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akusanyaye wakati wa joto ni mwana mwenye hekima; Bali asinziaye wakati wa mavuno ni mwana mwenye kuaibisha.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 10:5
10 Marejeleo ya Msalaba  

Atendaye mambo kwa mkono mlegevu huwa maskini; Bali mkono wake aliye na bidii hutajirisha.


Baraka humkalia mwenye haki kichwani; Bali jeuri hufunika kinywa chake mtu mwovu.


Mwanamke mwema ni taji la mumewe; Bali aaibishaye ni kama kuoza mifupani mwake.


Mtumwa atendaye kwa busara atamtawala mwana atendaye mambo ya aibu; Tena atapata sehemu ya urithi kati ya ndugu.


Apotezaye mali za babaye na kumfukuza mamaye, Ni mwana aaibishaye, na kuleta lawama.


Manyasi hukatwa, na majani mabichi huchipua, Na mboga ya mlimani hukusanywa.


Chungu ni watu wasio na nguvu; Lakini hujiwekea chakula wakati wa joto.


Ewe mvivu, mwendee chungu, Zitafakari njia zake ukapate hekima.


Lakini hujiwekea akiba ya chakula wakati wa jua; Hukusanya chakula chake wakati wa mavuno.