Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 19:26 - Swahili Revised Union Version

26 Apotezaye mali za babaye na kumfukuza mamaye, Ni mwana aaibishaye, na kuleta lawama.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

26 Anayemdhulumu baba yake na kumfukuza mama yake, ni mtoto asiyefaa na mpotovu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

26 Anayemdhulumu baba yake na kumfukuza mama yake, ni mtoto asiyefaa na mpotovu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

26 Anayemdhulumu baba yake na kumfukuza mama yake, ni mtoto asiyefaa na mpotovu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

26 Yeye amwibiaye baba yake na kumfukuza mama yake ni mwana aletaye aibu na fedheha.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

26 Yeye amwibiaye baba yake na kumfukuza mama yake ni mwana aletaye aibu na fedheha.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

26 Apotezaye mali za babaye na kumfukuza mamaye, Ni mwana aaibishaye, na kuleta lawama.

Tazama sura Nakili




Methali 19:26
14 Marejeleo ya Msalaba  

Mwana mwenye hekima humfurahisha babaye; Bali mwana mpumbavu ni mzigo wa mamaye.


Akusanyaye wakati wa joto ni mwana mwenye hekima; Bali asinziaye wakati wa mavuno ni mwana mwenye kuaibisha.


Mtumwa atendaye kwa busara atamtawala mwana atendaye mambo ya aibu; Tena atapata sehemu ya urithi kati ya ndugu.


Mwana mpumbavu ni huzuni kwa babaye, Na uchungu kwa mamaye aliyemzaa.


Mwanangu, acha kusikia mafundisho, Ukitaka tu kuyaasi maneno ya maarifa.


Mwanadamu mwenye kicho yu heri sikuzote; Bali mshupavu wa moyo ataangukia madhara.


Aibaye mali ya babaye au mamaye, na kusema, Si kosa; Mwana huyo ni rafiki wa mtu mharibifu.


Yeye aishikaye sheria ni mwana mwenye hekima; Bali aliye rafiki wa walafi humwaibisha babaye.


Kuna kizazi cha watu wamlaanio baba yao; Wala hawambariki mama yao.


Jicho la mtu amdhihakiye babaye, Na kudharau kumtii mamaye; Kunguru wa bondeni wataling'oa, Na vifaranga vya tai watalila.


lakini, alipokuja huyu mwana wako aliyekula vitu vyako pamoja na makahaba, umemchinjia yeye ndama aliyenona.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo