Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 1:6 - Swahili Revised Union Version

Mungu akasema, Na liwe anga katikati ya maji, likayatenge maji na maji.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mungu akasema, “Anga liwe katikati ya maji, liyatenge maji sehemu mbili.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mungu akasema, “Anga liwe katikati ya maji, liyatenge maji sehemu mbili.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mungu akasema, “Anga liwe katikati ya maji, liyatenge maji sehemu mbili.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mungu akasema, “Iwepo nafasi kati ya maji, igawe maji na maji.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mwenyezi Mungu akasema, “Iwepo nafasi kati ya maji igawe maji na maji.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mungu akasema, Na liwe anga katikati ya maji, likayatenge maji na maji.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 1:6
23 Marejeleo ya Msalaba  

Mungu akasema, Na iwe mianga katika anga la mbingu ili itenge kati ya mchana na usiku; nayo iwe ndiyo dalili ya kuonesha majira, siku na miaka;


Mungu akasema, Maji na yajawe kwa wingi na viumbe vyenye uhai, na ndege waruke juu ya nchi katika anga la mbingu.


Hizo mbingu hupambwa kwa roho yake; Mkono wake umemchoma nyoka aendaye mbio.


Naam, huyatwika mawingu mazito mzigo wa maji; Hulitandika wingu la umeme wake;


Je! Waweza kuzitandaza mbingu pamoja naye, Ambazo zina nguvu kama kioo cha kuyeyushwa?


Umejivika nuru kama vazi; Umezitandika mbingu kama pazia;


Msifuni, enyi mbingu za mbingu, Nanyi maji mlioko juu ya mbingu.


Haleluya. Msifuni Mungu katika patakatifu pake; Msifuni katika anga la uweza wake.


Mbingu zauhubiri utukufu wa Mungu, Na anga laitangaza kazi ya mikono yake.


Mchana husemezana na mchana, Usiku hutolea usiku maarifa.


Kwa neno la BWANA mbingu ziliumbwa, Na jeshi lake lote kwa pumzi ya kinywa chake.


Maana Yeye alisema, na ikawa; Na Yeye aliamuru, ikaumbika.


Mawingu yakiwa yamejaa mvua, Yataimimina juu ya nchi; Na mti ukianguka kuelekea kusini, au kaskazini, Paangukapo ule mti, papo hapo utalala.


Yeye ndiye anayeketi juu ya duara ya dunia, na hao wanaokaa ndani yake huwa kama panzi; yeye ndiye azitandazaye mbingu kama pazia na kuzikunjua kama hema ya kukaliwa;


Bali BWANA ndiye Mungu wa kweli; Ndiye Mungu aliye hai, Mfalme wa milele; Mbele za ghadhabu yake nchi yatetemeka, Wala mataifa hawawezi kustahimili hasira yake.


Ameiumba dunia kwa uweza wake, Ameuthibitisha ulimwengu kwa hekima yake, Na kwa ufahamu wake amezitandika mbingu.


Ufunuo wa neno la BWANA juu ya Israeli. Haya ndiyo asemayo BWANA, azitandaye mbingu, auwekaye msingi wa dunia, aiumbaye roho ya mwanadamu ndani yake.


Maana hufumba macho yao wasione neno hili ya kuwa zilikuwako mbingu tangu zamani, na nchi pia, imefanyizwa kutoka katika maji, na ndani ya maji, kwa neno la Mungu;