Mwanzo 1:6 - Swahili Revised Union Version6 Mungu akasema, Na liwe anga katikati ya maji, likayatenge maji na maji. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Mungu akasema, “Anga liwe katikati ya maji, liyatenge maji sehemu mbili.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Mungu akasema, “Anga liwe katikati ya maji, liyatenge maji sehemu mbili.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Mungu akasema, “Anga liwe katikati ya maji, liyatenge maji sehemu mbili.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Mungu akasema, “Iwepo nafasi kati ya maji, igawe maji na maji.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Mwenyezi Mungu akasema, “Iwepo nafasi kati ya maji igawe maji na maji.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI6 Mungu akasema, Na liwe anga katikati ya maji, likayatenge maji na maji. Tazama sura |