Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mwanzo 1:5 - Swahili Revised Union Version

5 Mungu akaiita nuru Mchana, na giza akaliita Usiku. Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya kwanza.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 mwanga akauita “Mchana” na giza akaliita “Usiku.” Ikawa jioni, ikawa asubuhi; siku ya kwanza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 mwanga akauita “Mchana” na giza akaliita “Usiku.” Ikawa jioni, ikawa asubuhi; siku ya kwanza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 mwanga akauita “Mchana” na giza akaliita “Usiku.” Ikawa jioni, ikawa asubuhi; siku ya kwanza.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Mungu akaiita nuru “mchana”, na giza akaliita “usiku”. Ikawa jioni, ikawa asubuhi, siku ya kwanza.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Mwenyezi Mungu akaiita nuru “mchana,” na giza akaliita “usiku.” Ikawa jioni, ikawa asubuhi, siku ya kwanza.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

5 Mungu akaiita nuru Mchana, na giza akaliita Usiku. Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya kwanza.

Tazama sura Nakili




Mwanzo 1:5
16 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya tatu.


Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya nne.


Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya tano.


Mungu akaona kila kitu alichokifanya, na tazama, ni chema sana. Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya sita.


Mungu akaliita lile anga Mbingu. Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya pili.


Muda nchi idumupo, majira ya kupanda, na mavuno, wakati wa baridi na wakati wa joto, wakati wa kaskazi na wakati wa kusi, mchana na usiku, havitakoma.


Wewe hufanya giza, kukawa usiku, Ndipo atambaapo kila mnyama wa mwitu.


Mchana husemezana na mchana, Usiku hutolea usiku maarifa.


Kwa hiyo wakaao mbali kabisa huogopa ishara zako; Milango ya asubuhi na jioni waifurahisha.


Mchana ni wako, usiku nao ni wako, Ndiwe uliyeufanya mwanga na jua.


Mimi naiumba nuru, na kulihuluku giza; mimi nafanya suluhu, na kuhuluku ubaya; Mimi ni BWANA, niyatendaye hayo yote.


BWANA asema hivi, Kama mkiweza kulivunja agano langu la mchana, na agano langu la usiku, hata usiwepo tena mchana na usiku kwa wakati wake,


Na mkutano wote ulipoona ya kuwa Haruni amekufa, wakamwombolezea Haruni muda wa siku thelathini, maana, nyumba yote ya Israeli ikamwombolezea.


Maana siku ile itaidhihirisha, kwa kuwa yafunuliwa katika moto; na ule moto wenyewe utaijaribu kazi ya kila mtu, ni ya namna gani.


Lakini chochote kinachoangazwa na nuru hudhihirishwa, maana chochote kile kilichoadhihirika ni nuru.


Kwa kuwa ninyi nyote mmekuwa wana wa nuru, na wana wa mchana; sisi si wa usiku, wala wa giza.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo