Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Petro 3:5 - Swahili Revised Union Version

5 Maana hufumba macho yao wasione neno hili ya kuwa zilikuwako mbingu tangu zamani, na nchi pia, imefanyizwa kutoka katika maji, na ndani ya maji, kwa neno la Mungu;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Watu hao, kwa makusudi, husahau kwamba zamani Mungu alinena, nazo mbingu na dunia zikaumbwa. Dunia iliumbwa kutoka katika maji na kwa maji;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Watu hao, kwa makusudi, husahau kwamba zamani Mungu alinena, nazo mbingu na dunia zikaumbwa. Dunia iliumbwa kutoka katika maji na kwa maji;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Watu hao, kwa makusudi, husahau kwamba zamani Mungu alinena, nazo mbingu na dunia zikaumbwa. Dunia iliumbwa kutoka katika maji na kwa maji;

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Lakini wao kwa makusudi hupuuza ukweli huu, kwamba kwa neno la Mungu mbingu zilikuwa tangu zamani, nayo dunia ilifanyizwa kutoka ndani ya maji na kwa maji.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Lakini wao kwa makusudi hupuuza ukweli huu, ya kwamba kwa neno la Mwenyezi Mungu mbingu zilikuwepo tangu zamani, nayo dunia ilifanyizwa kutoka ndani ya maji na kwa maji.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

5 Maana hufumba macho yao wasione neno hili ya kuwa zilikuwako mbingu tangu zamani, na nchi pia, imefanyizwa kutoka katika maji, na ndani ya maji, kwa neno la Mungu;

Tazama sura Nakili




2 Petro 3:5
11 Marejeleo ya Msalaba  

Mungu akasema, Na liwe anga katikati ya maji, likayatenge maji na maji.


Mungu akasema, Maji yaliyo chini ya mbingu na yakusanyike mahali pamoja, ili pakavu paonekane; ikawa hivyo.


Yeye aliyeitandaza nchi juu ya maji; Kwa maana fadhili zake ni za milele.


Maana ameiweka misingi yake juu ya bahari, Na juu ya mito ya maji aliithibitisha.


Kwa neno la BWANA mbingu ziliumbwa, Na jeshi lake lote kwa pumzi ya kinywa chake.


Nini maana yake, mpumbavu kuwa na fedha mkononi mwake ya kununulia hekima, Ikiwa hana moyo wa ufahamu?


Na kama walivyokataa kuwa na Mungu katika fahamu zao, Mungu aliwaacha wafuate akili zao zisizofaa, wayafanye yasiyowapasa.


Naye amekuwako kabla ya vitu vyote, na vitu vyote hushikana katika yeye.


Kwa imani twafahamu ya kuwa ulimwengu uliumbwa kwa neno la Mungu, hata vitu vinavyoonekana havikufanywa kwa vitu vilivyo dhahiri.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo