Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Petro 3:6 - Swahili Revised Union Version

6 kwa hayo dunia ile ya wakati ule iligharikishwa na maji, ikaangamia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 na kwa maji hayo, yaani yale maji ya gharika kuu, dunia ya wakati ule iliangamizwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 na kwa maji hayo, yaani yale maji ya gharika kuu, dunia ya wakati ule iliangamizwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 na kwa maji hayo, yaani yale maji ya gharika kuu, dunia ya wakati ule iliangamizwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Ulimwengu wa wakati ule uligharikishwa kwa hayo maji na kuangamizwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Ulimwengu wa wakati ule uligharikishwa kwa hayo maji na kuangamizwa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

6 kwa hayo dunia ile ya wakati ule iligharikishwa na maji, ikaangamia.

Tazama sura Nakili




2 Petro 3:6
6 Marejeleo ya Msalaba  

nami nitalikumbuka agano langu, lililoko kati yangu na ninyi, na kila kiumbe hai katika wote wenye mwili, wala maji hayatakuwa gharika tena kuwaharibu wote wenye mwili.


Tazama, yuayazuia maji, nayo yakatika; Tena, huyatuma, nayo yaipindua dunia.


Walikuwa wakila na kunywa, walikuwa wakioa na kuolewa, hata siku ile Nuhu aliyoingia katika safina, gharika ikashuka ikawaangamiza wote.


wala hakuuachilia ulimwengu wa kale, bali alimhifadhi Nuhu, mjumbe wa haki, na watu wengine saba, hapo alipoleta Gharika juu ya ulimwengu wa wasiomcha Mungu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo