Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 19:2 - Swahili Revised Union Version

2 Mchana husemezana na mchana, Usiku hutolea usiku maarifa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Mchana waupasha habari mchana ufuatao, usiku waufahamisha usiku ufuatao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Mchana waupasha habari mchana ufuatao, usiku waufahamisha usiku ufuatao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Mchana waupasha habari mchana ufuatao, usiku waufahamisha usiku ufuatao.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Siku baada ya siku zinatoa habari, usiku baada ya usiku zinatangaza maarifa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Siku baada ya siku zinatoa habari, usiku baada ya usiku zinatangaza maarifa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

2 Mchana husemezana na mchana, Usiku hutolea usiku maarifa.

Tazama sura Nakili




Zaburi 19:2
14 Marejeleo ya Msalaba  

Mungu akasema, Na liwe anga katikati ya maji, likayatenge maji na maji.


Mungu akaliumba anga, akayatenga yale maji yaliyo juu ya anga na yale maji yaliyo chini ya anga; ikawa hivyo.


Muda nchi idumupo, majira ya kupanda, na mavuno, wakati wa baridi na wakati wa joto, wakati wa kaskazi na wakati wa kusi, mchana na usiku, havitakoma.


Vijana wa kiume, na wanawali, Wazee, na watoto;


Haleluya. Msifuni Mungu katika patakatifu pake; Msifuni katika anga la uweza wake.


Mchana ni wako, usiku nao ni wako, Ndiwe uliyeufanya mwanga na jua.


Mtu ni kitu gani hata umkumbuke, Na binadamu hata umwangalie?


Aliye hai, naam, aliye hai, ndiye atakayekusifu, kama mimi leo; Baba atawajulisha watoto uaminifu wako.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo