Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 8:14 - Swahili Revised Union Version

Ushauri ni wangu, na maarifa yaliyo sahihi; Mimi ni ufahamu, mimi nina nguvu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nina uwezo wa kushauri na nina hekima. Ninao ujuzi na nina nguvu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nina uwezo wa kushauri na nina hekima. Ninao ujuzi na nina nguvu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nina uwezo wa kushauri na nina hekima. Ninao ujuzi na nina nguvu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ushauri na hukumu sahihi ni vyangu; nina ufahamu na nina nguvu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ushauri na hukumu sahihi ni vyangu; nina ufahamu na nina nguvu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ushauri ni wangu, na maarifa yaliyo sahihi; Mimi ni ufahamu, mimi nina nguvu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 8:14
19 Marejeleo ya Msalaba  

Hekima na amri zina yeye [Mungu]; Yeye anayo ushauri na fahamu.


Bali mmeupuuza ushauri wangu, Wala hamkutaka maonyo yangu;


Ajitengaye na wenzake hutafuta matakwa yake mwenyewe; Hushindana na kila shauri jema.


Sikiliza mashauri, ukapokee mafundisho, Upate kuwa na hekima siku zako za mwisho.


Mtu mwenye hekima ana nguvu; Naam, mtu wa maarifa huongeza uwezo;


Mwanangu, yasiondoke haya machoni pako, Shika hekima kamili na busara.


Hekima ni nguvu zake mwenye hekima, Zaidi ya wakuu kumi waliomo mjini.


Hayo nayo yatoka kwa BWANA wa majeshi, mwenye shauri la ajabu, apitaye wote kwa hekima yake.


Alifanya shauri na nani, ni nani aliyemwelimisha na kumfunza njia ya hukumu, na kumfunza maarifa, na kumwonesha njia ya fahamu?


Maana kwa ajili yetu mtoto amezaliwa, Tumepewa mtoto wa kiume; Na uweza wa kifalme utakuwa begani mwake; Naye ataitwa jina lake, Mshauri wa Ajabu, Mungu Mwenye Nguvu, Baba wa Milele, Mfalme wa Amani.


mkuu wa mashauri, muweza katika kutenda; ambaye macho yake yamefumbuka juu ya njia zote za wanadamu, kumpa kila mtu kwa kadiri ya njia zake, na kwa kadiri ya matunda ya matendo yake,


Kulikuwako Nuru halisi, amtiaye nuru kila mtu, akija katika ulimwengu.


Wakijinena kuwa wenye hekima walipumbazika;


bali kwao waitwao, Wayahudi kwa Wagiriki, ni Kristo, nguvu ya Mungu, na hekima ya Mungu.


Bali kwa yeye ninyi mmepata kuwa katika Kristo Yesu, aliyefanywa kwetu hekima itokayo kwa Mungu, na haki, na utakatifu, na ukombozi;


ambaye ndani yake yeye hazina zote za hekima na maarifa zimesitirika.