Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 1:25 - Swahili Revised Union Version

25 Bali mmeupuuza ushauri wangu, Wala hamkutaka maonyo yangu;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

25 mkapuuza mashauri yangu yote, wala hamkuyajali maonyo yangu,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

25 mkapuuza mashauri yangu yote, wala hamkuyajali maonyo yangu,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

25 mkapuuza mashauri yangu yote, wala hamkuyajali maonyo yangu,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

25 kwa kuwa mliyapuuza mashauri yangu yote na hamkukubali karipio langu,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

25 kwa kuwa mliyapuuza mashauri yangu yote na hamkukubali karipio langu,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

25 Bali mmeupuuza ushauri wangu, Wala hamkutaka maonyo yangu;

Tazama sura Nakili




Methali 1:25
13 Marejeleo ya Msalaba  

Naye BWANA akasema na Manase, na watu wake; wala wasiangalie.


lakini waliwadhihaki wajumbe wa Mungu, na kuyadharau maneno yake, na kuwacheka manabii wake, hata ilipozidi ghadhabu ya BWANA juu ya watu wake, hata kusiwe na kuponya.


Kwa sababu waliyaasi maneno ya Mungu, Wakalidharau shauri lake Aliye Juu.


Lakini watu wangu hawakuisikiliza sauti yangu, Wala Israeli hawakunitaka.


Hawakukubali mashauri yangu, Wakayadharau maonyo yangu yote.


Kila apendaye mafundisho hupenda maarifa; Bali yeye achukiaye kulaumiwa ni kama mnyama.


Adhabu kali ina yeye aiachaye njia; Naye achukiaye kukemewa atakufa.


Ukasema, Jinsi nilivyochukia maonyo, Na moyo wangu ukadharau kukemewa;


Ushauri ni wangu, na maarifa yaliyo sahihi; Mimi ni ufahamu, mimi nina nguvu.


kwa sababu hiyo, asema BWANA, Mungu wa majeshi, Mungu wa Israeli; Tazama nitaleta juu ya Yuda, na juu ya wenyeji wote wa Yerusalemu, mabaya yote niliyoyatamka juu yao; kwa sababu nimesema nao, wasinisikilize; nimewaita, wala hawakuniitikia.


Lakini, Mafarisayo na wanasheria walilipinga shauri la Mungu juu yao, kwa kuwa hawakubatizwa naye.


Mkarudi mkalia mbele za BWANA; BWANA asiisikize sauti yenu, wala hakuelekeza masikio yake kwenu.


Nanyi mtalia siku ile kwa sababu ya mfalme wenu mliyejichagulia; BWANA asiwajibu siku ile.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo