Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 1:26 - Swahili Revised Union Version

26 Mimi nami nitacheka siku ya msiba wenu, Nitadhihaki hofu yenu ifikapo;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

26 nami pia nitayachekelea maafa yenu, nitawadhihaki mnapokumbwa na hofu,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

26 nami pia nitayachekelea maafa yenu, nitawadhihaki mnapokumbwa na hofu,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

26 nami pia nitayachekelea maafa yenu, nitawadhihaki mnapokumbwa na hofu,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

26 mimi nami nitawacheka katika maafa yenu, nitawadhihaki janga litakapowapata:

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

26 mimi nami nitawacheka katika maafa yenu, nitawadhihaki wakati janga litawapata:

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

26 Mimi nami nitacheka siku ya msiba wenu, Nitadhihaki hofu yenu ifikapo;

Tazama sura Nakili




Methali 1:26
11 Marejeleo ya Msalaba  

Yeye aketiye mbinguni anacheka, Bwana anawafanyia dhihaka.


BWANA atamcheka, Maana ameona kwamba siku yake inakuja.


Na Wewe, BWANA, utawacheka, Utawadhihaki mataifa yote.


Aogopacho mtu asiye haki ndicho kitakachomjilia; Na wenye haki watapewa matakwa yao.


Mtu atasifiwa kwa kadiri ya akili zake; Bali mwenye moyo wa ukaidi atadharauliwa.


Hukumu zimewekwa tayari kwa wenye mzaha; Na mapigo kwa mgongo wa wapumbavu.


Hakika yake huwadharau wenye dharau, Bali huwapa wanyenyekevu neema.


Basi msiba utampata kwa ghafla; Ghafla atavunjika, bila njia ya kupona.


Maana nawaambia ya kwamba katika wale walioalikwa, hakuna hata mmoja atakayeionja karamu yangu.


Tena itakuwa, kama vile alivyokuwa akifurahi BWANA juu yenu kwa kuwatendea mema na kuwafanya kuwa wengi, ndivyo atakavyofurahi BWANA juu yenu kwa kuwapoteza na kuwaangamiza; nanyi mtanyakuliwa katika hiyo nchi mwingiayo kuimiliki.


Haya, endeni mkaililie hiyo miungu mliyoichagua; na hiyo iwaokoe wakati wa kusumbuka kwenu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo