Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 3:21 - Swahili Revised Union Version

21 Mwanangu, yasiondoke haya machoni pako, Shika hekima kamili na busara.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Mwanangu, zingatia hekima safi na busara; usiviache vitoweke machoni pako,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Mwanangu, zingatia hekima safi na busara; usiviache vitoweke machoni pako,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Mwanangu, zingatia hekima safi na busara; usiviache vitoweke machoni pako,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Mwanangu, hifadhi maamuzi mema na busara, usiache vitoke machoni pako;

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Mwanangu, hifadhi maamuzi mema na busara, usiache vitoke machoni pako;

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

21 Mwanangu, yasiondoke haya machoni pako, Shika hekima kamili na busara.

Tazama sura Nakili




Methali 3:21
18 Marejeleo ya Msalaba  

Kuwapa wajinga werevu, na kijana maarifa na tahadhari;


Ajitengaye na wenzake hutafuta matakwa yake mwenyewe; Hushindana na kila shauri jema.


Apataye hekima hujipenda nafsi yake; Ashikaye ufahamu atapata mema.


Huwawekea wanyofu akiba ya hekima kamili; Yeye ni ngao kwao waendao kwa ukamilifu;


Zisiondoke machoni pako; Uzihifadhi ndani ya moyo wako.


Usimwache, naye atakusitiri; Umpende, naye atakulinda.


Upate kuilinda busara, Na midomo yako iyahifadhi maarifa.


Ushauri ni wangu, na maarifa yaliyo sahihi; Mimi ni ufahamu, mimi nina nguvu.


Basi Yesu akawaambia wale Wayahudi waliomwamini, Ninyi mkikaa katika neno langu, mmekuwa wanafunzi wangu kweli kweli;


Lakini, jihadhari nafsi yako, ukailinde roho yako kwa bidii, usije ukayasahau mambo yale uliyoyaona kwa macho yako, yakaondoka moyoni mwako siku zote za maisha yako; bali uwajulishe watoto wako na watoto wa watoto wako;


Kitabu hiki cha torati kisiondoke kinywani mwako, bali yatafakari maneno yake mchana na usiku, upate kuangalia kutenda kulingana na maneno yote yaliyoandikwa humo; maana ndipo utakapoifanikisha njia yako, kisha ndipo utakapositawi sana.


Ninyi basi, hilo mlilolisikia tangu mwanzo na likae ndani yenu. Ikiwa hilo mlilolisikia tangu mwanzo linakaa ndani yenu, ninyi nanyi mtakaa ndani ya Mwana, na ndani ya Baba.


Nanyi, mafuta yale mliyoyapata kwake yanakaa ndani yenu, wala hamna haja ya mtu kuwafundisha; lakini kama mafuta yake yanavyowafundisha habari za mambo yote, tena ni kweli wala si uongo, na kama yalivyowafundisha, kaeni ndani yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo