Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 3:20 - Swahili Revised Union Version

20 Kwa maarifa yake vilindi viligawanyika; Na mawingu yadondoza umande.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Kwa maarifa yake vilindi vilipasuka, na mawingu yakadondosha umande.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Kwa maarifa yake vilindi vilipasuka, na mawingu yakadondosha umande.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Kwa maarifa yake vilindi vilipasuka, na mawingu yakadondosha umande.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 kwa maarifa yake vilindi viligawanywa, nayo mawingu yanadondosha umande.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 kwa maarifa yake vilindi viligawanywa, nayo mawingu yanadondosha umande.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

20 Kwa maarifa yake vilindi viligawanyika; Na mawingu yadondoza umande.

Tazama sura Nakili




Methali 3:20
13 Marejeleo ya Msalaba  

Mungu akasema, Maji yaliyo chini ya mbingu na yakusanyike mahali pamoja, ili pakavu paonekane; ikawa hivyo.


Mungu na akupe ya umande wa mbingu, Na manono ya nchi, Na wingi wa nafaka na mvinyo.


Katika mwaka wa mia sita wa maisha ya Nuhu, mwezi wa pili, siku ya kumi na saba ya mwezi, siku ile chemchemi zote za vilindi vikuu zilibubujika kwa nguvu, madirisha ya mbinguni yakafunguka.


Wakati havijakuwapo vilindi nilizaliwa, Wakati hazijakuwapo chemchemi zilizojaa maji.


Je! Katika vitu vya ubatili vya mataifa, kiko kitu kiwezacho kuleta mvua? Je! Mbingu zaweza kutoa manyunyu? Je! Si wewe, Ee BWANA, Mungu wetu? Kwa sababu hiyo tutakungoja; kwa kuwa wewe umevifanya vitu hivi vyote.


Furahini, basi, enyi wana wa Sayuni, mkamfurahie BWANA, Mungu wenu; kwa kuwa yeye huwapa ninyi mvua ya masika, kwa kipimo cha haki, naye huwanyeshea mvua, mvua ya masika, na mvua ya vuli, kama awali.


Na Israeli anakaa salama, Chemchemi ya Yakobo peke yake, Katika nchi ya ngano na divai; Naam, mbingu zake zadondoza umande.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo