Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 24:5 - Swahili Revised Union Version

5 Mtu mwenye hekima ana nguvu; Naam, mtu wa maarifa huongeza uwezo;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Kuwa na hekima ni bora kuliko kuwa na nguvu, naam, maarifa ni bora kuliko nguvu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Kuwa na hekima ni bora kuliko kuwa na nguvu, naam, maarifa ni bora kuliko nguvu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Kuwa na hekima ni bora kuliko kuwa na nguvu, naam, maarifa ni bora kuliko nguvu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Mtu mwenye hekima ana uwezo mkubwa, naye mtu mwenye maarifa huongeza nguvu,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Mtu mwenye hekima ana uwezo mkubwa, naye mtu mwenye maarifa huongeza nguvu,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

5 Mtu mwenye hekima ana nguvu; Naam, mtu wa maarifa huongeza uwezo;

Tazama sura Nakili




Methali 24:5
10 Marejeleo ya Msalaba  

Huendelea toka nguvu hata nguvu, Huonekana Sayuni kila mmoja mbele za Mungu.


Njia ya BWANA ni kimbilio lake mtu mkamilifu; Bali ni uharibifu kwao watendao maovu.


Mwenye hekima huupandia mji wao wenye nguvu; Na kuziangusha nguvu za tumaini lao.


Maana kwa mashauri ya akili utafanya vita; Na kwa wingi wa washauri huja wokovu.


Ushauri ni wangu, na maarifa yaliyo sahihi; Mimi ni ufahamu, mimi nina nguvu.


Hekima ni nguvu zake mwenye hekima, Zaidi ya wakuu kumi waliomo mjini.


Nasema, mashauri yako, na nguvu zako kwa vita, ni maneno yasiyo na maana; basi, unamtumaini nani hata ukaniasi mimi?


bali wao wamngojeao BWANA watapata nguvu mpya; watapanda juu kwa mbawa kama tai; watakimbia, wala hawatachoka; watakwenda kwa miguu, wala hawatazimia.


mkiwezeshwa kwa uwezo wote, kwa kadiri ya nguvu ya utukufu wake, mpate kuwa na subira ya kila namna na uvumilivu pamoja na furaha;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo