Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 23:4 - Swahili Revised Union Version

Usijitaabishe ili kupata utajiri; Acha kuzitegemea akili zako mwenyewe.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ikiwa unayo hekima ya kutosha, usijitaabishe kutafuta utajiri.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ikiwa unayo hekima ya kutosha, usijitaabishe kutafuta utajiri.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ikiwa unayo hekima ya kutosha, usijitaabishe kutafuta utajiri.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Usijitaabishe ili kuupata utajiri, uwe na hekima kuonesha kujizuia.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Usijitaabishe ili kuupata utajiri, uwe na hekima kuonyesha kujizuia.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Usijitaabishe ili kupata utajiri; Acha kuzitegemea akili zako mwenyewe.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 23:4
17 Marejeleo ya Msalaba  

Yeye hujilaza hali ni tajiri, lakini ndio mwisho; Hufunua macho yake, naye hayuko.


Atamaniye faida huifadhaisha nyumba yake mwenyewe; Bali achukiaye zawadi ataishi.


Je! Wamwona mtu mwenye hekima machoni pake mwenyewe? Afadhali kumtumaini mpumbavu kuliko yeye.


Kwa maana mali haziwi za milele; Na taji je! Ladumu tangu kizazi hata kizazi?


Mtu mwaminifu atakuwa na baraka tele; Lakini afanyaye haraka kuwa tajiri hakosi ataadhibiwa.


Mtumaini BWANA kwa moyo wako wote, Wala usizitegemee akili zako mwenyewe;


Usiwe na hekima machoni pako; Mche BWANA, ukajiepushe na uovu.


Kuna balaa mbaya sana niliyoiona chini ya jua, nayo ni hii, mali alizoziweka mwenyewe kwa kujinyima;


Ole wao walio na hekima katika macho yao wenyewe, na wenye busara katika fikira zao wenyewe!


Nena, BWANA asema hivi, Mizoga ya watu itaanguka kama samadi juu ya mashamba, Na kama konzi ya ngano nyuma yake avunaye, wala hapana mtu atakayeikusanya.


Msijiwekee hazina duniani, nondo na kutu viharibupo, na wezi huvunja na kuiba;


na shughuli za dunia, na udanganyifu wa mali, na tamaa za mambo mengine zikiingia, hulisonga lile neno, likawa halizai.


Msikitendee kazi chakula chenye kuharibika, bali chakula kidumucho hata uzima wa milele; ambacho Mwana wa Adamu atawapa, kwa sababu huyo ndiye aliyetiwa mhuri na Baba, yaani, Mungu.


Kwa maana, ndugu zangu, sipendi msiijue siri hii, ili msijione kuwa wenye akili; ya kwamba kwa sehemu ugumu umewapata Israeli, mpaka utimilifu wa Mataifa uwasili.


Mpatane nia zenu ninyi kwa ninyi. Msinuie yaliyo makuu, lakini mkubali kushughulishwa na mambo manyonge. Msiwe watu wa kujivunia akili.


Msiwe na tabia ya kupenda fedha; muwe radhi na vitu mlivyo navyo; kwa kuwa yeye mwenyewe amesema, Sitakupungukia kamwe, wala sitakuacha.