Mhubiri 5:13 - Swahili Revised Union Version13 Kuna balaa mbaya sana niliyoiona chini ya jua, nayo ni hii, mali alizoziweka mwenyewe kwa kujinyima; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 Tena, nimeona jambo moja ovu sana duniani: Mtu alijirundikia mali ikawa hatari kwake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 Tena, nimeona jambo moja ovu sana duniani: Mtu alijirundikia mali ikawa hatari kwake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 Tena, nimeona jambo moja ovu sana duniani: mtu alijirundikia mali ikawa hatari kwake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 Nimeshaona uovu mzito chini ya jua: Utajiri uliolimbikizwa na kuleta madhara kwa mwenye mali; Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 Nimeshaona uovu mzito chini ya jua: Utajiri uliolimbikizwa kwa kujinyima na kuleta madhara kwa mwenye mali, Tazama sura |