Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Isaya 5:21 - Swahili Revised Union Version

21 Ole wao walio na hekima katika macho yao wenyewe, na wenye busara katika fikira zao wenyewe!

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Ole wao wanaojiona kuwa wenye hekima ambao wanajiona kuwa wenye akili.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Ole wao wanaojiona kuwa wenye hekima ambao wanajiona kuwa wenye akili.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Ole wao wanaojiona kuwa wenye hekima ambao wanajiona kuwa wenye akili.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Ole wao walio na hekima machoni pao wenyewe, na kujiona wenye akili machoni pao wenyewe.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Ole wao walio na hekima machoni pao wenyewe, na kujiona wenye akili machoni pao wenyewe.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

21 Ole wao walio na hekima katika macho yao wenyewe, na wenye busara katika fikira zao wenyewe!

Tazama sura Nakili




Isaya 5:21
13 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini mpumbavu aweza kupata ufahamu, Ingawa mwanadamu huzaliwa kama mtoto wa punda mwitu.


Je! Wamwona mtu mwenye hekima machoni pake mwenyewe? Afadhali kumtumaini mpumbavu kuliko yeye.


Mtu mvivu ni mwenye hekima machoni pake, Kuliko watu saba wawezao kutoa sababu.


Usiwe na hekima machoni pako; Mche BWANA, ukajiepushe na uovu.


Kwa maana amesema, Kwa nguvu za mkono wangu nimetenda jambo hili, na kwa hekima yangu; maana mimi nina busara; nami nimeiondoa mipaka ya watu, nikaziteka akiba zao, nikawaangusha waketio juu ya viti vya enzi kama afanyavyo shujaa.


Ni nani uliyemshutumu na kumtukana? Umeinua sauti yako juu ya nani, na kuinua macho yako juu? Juu ya Mtakatifu wa Israeli.


ndiye awatanguaye wakuu, na kuwabatilisha waamuzi wa dunia.


Maana umeutumainia ubaya wako; umesema, Hapana anionaye; hekima yako, na maarifa yako yamekupotosha, nawe umesema moyoni mwako, Mimi ndiye, wala hapana mwingine zaidi yangu mimi.


Yesu akawaambia, Kama mngekuwa vipofu, msingekuwa na dhambi; lakini kwa kuwa sasa mwasema, Twaona; basi dhambi yenu inakaa.


Wakijinena kuwa wenye hekima walipumbazika;


Kwa maana, ndugu zangu, sipendi msiijue siri hii, ili msijione kuwa wenye akili; ya kwamba kwa sehemu ugumu umewapata Israeli, mpaka utimilifu wa Mataifa uwasili.


Mpatane nia zenu ninyi kwa ninyi. Msinuie yaliyo makuu, lakini mkubali kushughulishwa na mambo manyonge. Msiwe watu wa kujivunia akili.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo