Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Isaya 5:22 - Swahili Revised Union Version

22 Ole wao walio hodari kunywa kileo chenye nguvu, na walio hodari wa kuchanganya vileo;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

22 Ole wao mabingwa wa kunywa divai, hodari sana wa kuchanganya vileo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

22 Ole wao mabingwa wa kunywa divai, hodari sana wa kuchanganya vileo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

22 Ole wao mabingwa wa kunywa divai, hodari sana wa kuchanganya vileo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

22 Ole wao walio mashujaa kwa kunywa mvinyo, nao walio hodari katika kuchanganya vileo,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

22 Ole wao walio mashujaa kwa kunywa mvinyo, nao walio hodari katika kuchanganya vileo,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

22 Ole wao walio hodari kunywa kileo chenye nguvu, na walio hodari wa kuchanganya vileo;

Tazama sura Nakili




Isaya 5:22
14 Marejeleo ya Msalaba  

Wakatoka wakati wa adhuhuri. Lakini Ben-hadadi alikuwa akinywa hata kulewa mabandani, yeye na wale wafalme thelathini na wawili waliomsaidia.


Nawe usipokee rushwa; kwani hiyo rushwa huwapofusha macho hao waonao, na kuyapotoa maneno ya wenye haki.


Mvinyo hudhihaki, kileo huleta ugomvi; Na akosaye kwa vitu hivyo hana hekima.


Ni nani apigaye, Yowe? Ni nani aliaye, Ole? Ni nani mwenye ugomvi? Ni nani mwenye mguno? Ni nani aliye na majeraha yasiyo na sababu? Ni nani aliye na macho mekundu?


Ee Lemueli, kunywa mvinyo hakuwafai wafalme, hakuwafai wafalme; Wala haifai wakuu waseme, Kiko wapi kileo?


Wasije wakanywa na kuisahau sheria, Na kuipotosha hukumu ya mtu aliye taabuni.


na kumbe! Furaha, na kuchekelea, na kuchinja ng'ombe, na kuchinja kondoo, na kula nyama, na kunywa mvinyo; tule, tunywe, kwa maana kesho tutakufa.


Hawatakunywa divai pamoja na nyimbo; kileo kitakuwa uchungu kwao wakinywao.


Lakini hawa nao wamekosa kwa divai, wamepotea kwa kileo; kuhani na nabii wamekosa kwa kileo, wamemezwa kwa divai, wamepotea kwa kileo; hukosa katika maono, hujikwaa katika hukumu.


Ole wao waamkao asubuhi na mapema, wapate kufuata kileo; wakishinda sana hadi usiku wa manane mpaka mvinyo imewaka kama moto ndani yao!


Husema, Njooni, nitaleta divai, Na tunywe sana kileo; Na kesho itakuwa kama leo, Sikukuu kupita kiasi.


Ole wake yeye ampaye jirani yake kileo, wewe utiaye sumu yako, na kumlevya pia, ili kuutazama uchi wao!


Tufuate:

Matangazo


Matangazo