Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 27:24 - Swahili Revised Union Version

24 Kwa maana mali haziwi za milele; Na taji je! Ladumu tangu kizazi hata kizazi?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

24 Maana utajiri haudumu milele, wala taji haidumu vizazi vyote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

24 Maana utajiri haudumu milele, wala taji haidumu vizazi vyote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

24 Maana utajiri haudumu milele, wala taji haidumu vizazi vyote.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

24 Kwa kuwa utajiri haudumu milele, nalo taji halidumu vizazi vyote.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

24 Kwa kuwa utajiri haudumu milele, nayo taji haidumu vizazi vyote.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

24 Kwa maana mali haziwi za milele; Na taji je! Ladumu tangu kizazi hata kizazi?

Tazama sura Nakili




Methali 27:24
15 Marejeleo ya Msalaba  

Na nyumba yako, na ufalme wako, vitathibitishwa milele mbele yako. Nacho kiti chako kitaimarishwa milele.


Amenivua utukufu wangu, Na kuiondoa taji kichwani mwangu.


Wazawa wake watadumu milele, Na kiti chake cha enzi kuwa mbele yangu kama jua.


Umechukizwa na agano la mtumishi wako, Umelinajisi taji lake na kulitupa chini.


Usijitaabishe ili kupata utajiri; Acha kuzitegemea akili zako mwenyewe.


Je! Utavikazia macho vile ambavyo si kitu? Maana bila shaka mali hujifanyia mabawa, Kama tai arukaye mbinguni.


Kuna balaa mbaya sana niliyoiona chini ya jua, nayo ni hii, mali alizoziweka mwenyewe kwa kujinyima;


Mamlaka ya enzi yake yatakuzwa daima, Na kutakuwa na amani isiyo na mwisho, Katika kiti cha enzi cha Daudi na ufalme wake; Kuuthibitisha na kuutegemeza Kwa hukumu na kwa haki, Tangu sasa na hata milele. Wivu wa BWANA wa majeshi ndio utakaotenda hayo.


Mwambie mfalme, na mama ya mfalme, Nyenyekeeni na kuketi chini; Kwa maana vilemba vyenu vimeshuka, naam, taji la utukufu wenu.


Taji ya kichwa chetu imeanguka; Ole wetu! Kwa kuwa tumetenda dhambi.


Bwana MUNGU asema hivi; Kiondoe kilemba, livue taji; haya hayatakuwa tena kama yalivyo; kikweze kilicho chini, kakishushe kilichoinuka.


Fedha yao wala dhahabu yao havitaweza kuwaokoa katika siku ile ya ghadhabu ya BWANA; bali nchi yote pia itateketezwa kwa moto wa wivu wake; maana atawakomesha watu wote wakaao katika nchi hii, naam, mwisho wa kutisha.


bali tajiri kwa kuwa ameshushwa; kwa maana atatoweka kama ua la majani.


Lakini sasa ufalme wako hautadumu; BWANA amejitafutia mtu aupendezaye moyo wake, naye BWANA amemwamuru yeye kuwa mkuu juu ya watu wake, kwa sababu wewe hukulishika neno lile BWANA alilokuamuru.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo