Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 22:10 - Swahili Revised Union Version

Mtupe nje mwenye dharau, na ugomvi utatoka; Naam, fitina na fedheha zitakoma.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mfukuze mwenye dharau na fujo itatoweka, ugomvi na matusi vitakoma.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mfukuze mwenye dharau na fujo itatoweka, ugomvi na matusi vitakoma.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mfukuze mwenye dharau na fujo itatoweka, ugomvi na matusi vitakoma.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mfukuze mwenye dhihaka, na mvutano utatoweka; ugomvi na matukano vitakoma.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mfukuze mwenye dhihaka, na mvutano utatoweka; ugomvi na matukano vitakoma.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mtupe nje mwenye dharau, na ugomvi utatoka; Naam, fitina na fedheha zitakoma.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 22:10
11 Marejeleo ya Msalaba  

Na mwana mmoja wa Yoyada, mwana wa Eliashibu, kuhani mkuu, alikuwa mkwewe Sanbalati, Mhoroni, basi nikamfukuza kwangu.


Amsingiziaye jirani yake kwa siri, Huyo nitamwangamiza. Mwenye macho ya kiburi na moyo wa majivuno, Huyo sitamvumilia.


Midomo ya mpumbavu huingia katika fitina, Na kinywa chake huita mapigo.


Mwenye kiburi na kutakabari, jina lake ni mbishi; Hutenda mambo katika majivuno ya kiburi chake.


Na asipowasikiliza wao, liambie kanisa; na asipolisikiliza kanisa pia, na awe kwako kama mtu wa mataifa na mtoza ushuru.


Lakini hao walio nje Mungu atawahukumu. Ninyi mwondoeni yule mbaya miongoni mwenu.


Basi hapo watu wa Israeli walipoona ya kuwa Abimeleki amekufa, wakaondoka wakaenda kila mtu mahali pake.