Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 21:16 - Swahili Revised Union Version

Mtu aikosaye njia ya busara Atakaa katika mkutano wao waliokufa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Anayetangatanga mbali na njia ya busara, atajikuta ametua miongoni mwa wafu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Anayetangatanga mbali na njia ya busara, atajikuta ametua miongoni mwa wafu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Anayetangatanga mbali na njia ya busara, atajikuta ametua miongoni mwa wafu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mtu anayepotea kutoka mapito ya ufahamu, hupumzika katika kundi la waliokufa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mtu anayepotea kutoka mapito ya ufahamu, hupumzika katika kundi la waliokufa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mtu aikosaye njia ya busara Atakaa katika mkutano wao waliokufa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 21:16
20 Marejeleo ya Msalaba  

Bali wao wanaozigeukia njia zao zilizopotoka, BWANA atawaondoa pamoja na watenda maovu. Amani ikae na Israeli.


Kama kondoo wamewekwa kwenda kuzimu, Na kifo kitakuwa mchungaji wao; Watu wanyofu watawamiliki asubuhi; Miili yao itaoza, kao lao ni kuzimu.


Haki huelekea uzima; Afuataye maovu hufuata mauti yake mwenyewe.


Nenda pamoja na wenye hekima, nawe utakuwa na hekima; Bali rafiki wa wapumbavu ataumia.


Yeye aihifadhiye amri huihifadhi nafsi yake; Bali yeye asiyeziangalia njia zake atakufa.


Watu waziachao njia za unyofu, Ili kuziendea njia za giza;


Atakufa huyo kwa kukosa maonyo, Naye atapotea kwa wingi wa ujinga wake.


Lakini huyo hajui ya kuwa wafu wamo humo; Ya kuwa wageni wake wamo chini kuzimuni.


Bali mwenye haki atakapoghairi, na kuiacha haki yake, na kutenda uovu, na kufanya machukizo yote kama yale afanyayo mtu mwovu, je, ataishi? Katika matendo yake yote ya haki aliyoyatenda halitakumbukwa hata mojawapo. Katika kosa lile alilolikosa, naam, katika dhambi yake aliyoitenda, atakufa.


na hao waliorudi nyuma, na kuacha kumfuata BWANA; na hao wasiomtafuta BWANA, wala kumwulizia.


Nanyi mlikuwa wafu kwa sababu ya makosa na dhambi zenu;


Lakini mwenye haki wangu ataishi kwa imani; Naye akisitasita, roho yangu haina furaha naye.


Walitoka kwetu, lakini hawakuwa wa kwetu. Maana kama wangalikuwa wa kwetu, wangalikaa pamoja nasi. Lakini walitoka ili wafunuliwe kwamba si wote walio wa kwetu.


Watu hawa ni miamba yenye hatari katika karamu zenu za upendo walapo karamu pamoja nanyi, wakijilisha pasipo hofu; ni mawingu yasiyo na maji, yachukuliwayo na upepo; ni miti iliyopukutika, isiyo na matunda, iliyokufa mara mbili, na kung'olewa kabisa;