Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 21:17 - Swahili Revised Union Version

17 Mtu apendaye anasa atakuwa maskini; Apendaye mvinyo na mafuta hatakuwa tajiri.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Anayependa anasa atakuwa maskini; anayefikiria tu kula na kunywa hatatajirika.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Anayependa anasa atakuwa maskini; anayefikiria tu kula na kunywa hatatajirika.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Anayependa anasa atakuwa maskini; anayefikiria tu kula na kunywa hatatajirika.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Mtu apendaye anasa atakuwa maskini, yeyote apendaye mvinyo na mafuta kamwe hatakuwa tajiri.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Mtu apendaye anasa atakuwa maskini, yeyote apendaye mvinyo na mafuta kamwe hatakuwa tajiri.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

17 Mtu apendaye anasa atakuwa maskini; Apendaye mvinyo na mafuta hatakuwa tajiri.

Tazama sura Nakili




Methali 21:17
9 Marejeleo ya Msalaba  

Mtu asiye haki ni fidia ya wenye haki; Naye afanyaye hila ni badala ya watu wa adili.


Kuna hazina ya thamani na mafuta katika maskani ya mwenye hekima; Bali mwanadamu aliye mpumbavu huyameza.


Usiwe miongoni mwao wanywao mvinyo; Miongoni mwao walao nyama kwa pupa.


Kwa maana mlevi na mlafi huingia umaskini, Na utepetevu humvika mtu nguo mbovu.


Bali, yeye asiyejizuia nafsi yake amekufa ingawa yu hai.


wasaliti, wakaidi, wenye kujivuna, wapendao anasa kuliko kumpenda Mungu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo