Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 21:18 - Swahili Revised Union Version

18 Mtu asiye haki ni fidia ya wenye haki; Naye afanyaye hila ni badala ya watu wa adili.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Mwovu atapata pigo ambalo halitampata mtu mwema, mkosefu ataadhibiwa badala ya mnyofu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Mwovu atapata pigo ambalo halitampata mtu mwema, mkosefu ataadhibiwa badala ya mnyofu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Mwovu atapata pigo ambalo halitampata mtu mwema, mkosefu ataadhibiwa badala ya mnyofu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Waovu huwa fidia kwa ajili ya wenye haki, nao wasio waaminifu kwa ajili ya wanyofu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Waovu huwa fidia kwa ajili ya wenye haki, nao wasio waaminifu kwa ajili ya wanyofu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

18 Mtu asiye haki ni fidia ya wenye haki; Naye afanyaye hila ni badala ya watu wa adili.

Tazama sura Nakili




Methali 21:18
5 Marejeleo ya Msalaba  

Mwenye haki huokolewa katika dhiki, Na mtu mwovu ataiingia badala yake.


Kwa maana Kristo naye aliteswa mara moja kwa ajili ya dhambi, mwenye haki kwa ajili yao wasio haki, ili atulete kwa Mungu; akauawa kimwili, lakini akahuishwa kiroho,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo