Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 21:12 - Swahili Revised Union Version

Mwenye haki huitafakari nyumba ya mtu mbaya; Jinsi wabaya waangushwavyo wakaangamia.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mungu Mwadilifu anajua wanayotenda waovu nyumbani kwao; naye atawaangusha na kuwaangamiza.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mungu Mwadilifu anajua wanayotenda waovu nyumbani kwao; naye atawaangusha na kuwaangamiza.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mungu Mwadilifu anajua wanayotenda waovu nyumbani kwao; naye atawaangusha na kuwaangamiza.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mwenye Haki huyajua yanayotendeka katika nyumba za waovu, naye atawaangamiza waovu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mwenye Haki huyajua yanayotendeka katika nyumba za waovu, naye atawaangamiza waovu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mwenye haki huitafakari nyumba ya mtu mbaya; Jinsi wabaya waangushwavyo wakaangamia.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 21:12
20 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa Mungu alipoiharibu miji ya Bondeni, Mungu akamkumbuka Abrahamu, akamtoa Lutu katika maangamizi alipoiangamiza miji hiyo aliyokaa Lutu.


Nimewaona wapumbavu wakishusha mizizi; Lakini mara niliyalaani maskani yake.


Ataitegemea nyumba yake, isisimame; Atashikamana nayo, isidumu.


Aliye na hekima na ayaangalie hayo; Na wazitafakari fadhili za BWANA.


Lakini Mungu atakuharibu hata milele; Atakuondolea mbali; Atakunyakua hemani mwako; Atakung'oa katika nchi ya walio hai.


Haki humlinda yeye aliye mnyofu katika njia yake; Bali ubaya humwangusha mwenye dhambi.


Nyumba ya mtu mwovu itabomolewa; Bali hema la mwenye haki litafanikiwa.


Mtu mbaya husukumwa chini katika kutenda mabaya kwake; Bali mwenye haki ana matumaini katika kufa kwake.


Waovu wakiongezeka, maasi huongezeka; Bali wenye haki watayatazama maanguko yao.


Ni nani aliye na hekima, naye atayafahamu mambo haya? Ni nani aliye na busara, naye atayajua? Kwa maana njia za BWANA zimenyoka, nao wenye haki watakwenda katika njia hizo; bali waasio wataanguka ndani yake.


Baadhi yenu nimewaangamiza, kama hapo Mungu alipoiangamiza Sodoma na Gomora, nanyi mkawa kama kinga kilichonyakuliwa motoni; lakini hamkunirudia mimi, asema BWANA.


Lakini wengi sana katika wao, Mungu hakupendezwa nao; maana waliangamizwa jangwani.