1 Wakorintho 10:5 - Swahili Revised Union Version5 Lakini wengi sana katika wao, Mungu hakupendezwa nao; maana waliangamizwa jangwani. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema5 Hata hivyo, wengi wao hawakumpendeza Mungu, na maiti zao zilisambazwa jangwani. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND5 Hata hivyo, wengi wao hawakumpendeza Mungu, na maiti zao zilisambazwa jangwani. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza5 Hata hivyo, wengi wao hawakumpendeza Mungu, na maiti zao zilisambazwa jangwani. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu5 Lakini Mungu hakupendezwa na wengi wao, kwa hiyo miili yao ilitapakaa jangwani. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu5 Lakini Mungu hakupendezwa na wengi wao, kwa hiyo miili yao ilitapakaa jangwani. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI5 Lakini wengi sana katika wao, Mungu hakupendezwa nao; maana waliangamizwa jangwani. Tazama sura |