Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 29:16 - Swahili Revised Union Version

16 Waovu wakiongezeka, maasi huongezeka; Bali wenye haki watayatazama maanguko yao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Waovu wakitawala maovu huongezeka, lakini waadilifu watashuhudia kuanguka kwao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Waovu wakitawala maovu huongezeka, lakini waadilifu watashuhudia kuanguka kwao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Waovu wakitawala maovu huongezeka, lakini waadilifu watashuhudia kuanguka kwao.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 Waovu wanapostawi, dhambi huongezeka pia; lakini wenye haki wataliona anguko lao.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 Wakati waovu wanapostawi, pia dhambi vivyo hivyo, lakini wenye haki wataliona anguko lao.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

16 Waovu wakiongezeka, maasi huongezeka; Bali wenye haki watayatazama maanguko yao.

Tazama sura Nakili




Methali 29:16
11 Marejeleo ya Msalaba  

Moyo wake umethibitika hataogopa, Hata awaone watesi wake wameshindwa.


Wewe umngoje BWANA, Uishike njia yake, Naye atakutukuza uirithi nchi, Utawaona Wasio haki wakiangamizwa.


Nikapita na kumbe! Hayuko, Nikamtafuta wala hakuonekana.


Mwenye haki atafurahi akionapo kisasi; Ataiosha miguu yake katika damu ya wasio haki.


Ila kwa macho yako utatazama, Na kuyaona malipo ya wasio haki.


Na jicho langu limeona kuanguka kwa adui zangu, Sikio langu limesikia maangamizi ya waovu walionishambulia.


Maana hao adui zako, Ee BWANA, Hao adui zako watapotea, Na watendao maovu watatawanyika wote pia.


Mwenye haki huitafakari nyumba ya mtu mbaya; Jinsi wabaya waangushwavyo wakaangamia.


Wenye haki wakiwa na amri, watu hufurahi; Bali mwovu atawalapo, watu huugua.


Ni nani asiyekucha, Ee Bwana, na kulitukuza jina lako? Kwa kuwa wewe peke yako u Mtakatifu; kwa maana mataifa yote watakuja na kusujudu mbele zako; kwa kuwa matendo yako ya haki yamekwisha kufunuliwa.


Furahini juu yake, enyi mbingu, na enyi watakatifu, mitume na manabii; kwa maana Mungu ametoa hukumu kwa ajili yenu juu yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo