Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 21:13 - Swahili Revised Union Version

13 Azibaye masikio yake asisikie kilio cha maskini, Yeye naye atalia, lakini hatasikiwa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Anayekataa kusikiliza kilio cha maskini, naye pia hatasikilizwa atakapolilia msaada.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Anayekataa kusikiliza kilio cha maskini, naye pia hatasikilizwa atakapolilia msaada.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Anayekataa kusikiliza kilio cha maskini, naye pia hatasikilizwa atakapolilia msaada.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Mtu akiziba masikio asisikie kilio cha maskini, yeye pia atalia, wala hatajibiwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Mtu akiziba masikio asisikie kilio cha maskini, yeye pia atalia, wala hatajibiwa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

13 Azibaye masikio yake asisikie kilio cha maskini, Yeye naye atalia, lakini hatasikiwa.

Tazama sura Nakili




Methali 21:13
20 Marejeleo ya Msalaba  

Tena nikakung'uta nguo yangu, nikasema, Mungu na amkung'ute vivyo hivyo kila mtu nyumbani mwake, na kazini mwake, asiyeitimiza ahadi hiyo; naam, na akung'utwe vivyo hivyo, na kuwa hana kitu. Mkutano wote wakasema, Amina; wakamhimidi BWANA. Nao watu wakafanya kama walivyoahidi.


Kwa sababu nilimwokoa maskini aliyenililia; Yatima naye, na yule asiyekuwa na mtu wa kumsaidia.


Walipiga yowe, lakini hakuna wa kuokoa, Walimwita BWANA lakini hakuwajibu,


Wana sumu mfano wa sumu ya nyoka; Wao ni kama fira kiziwi azibaye sikio lake.


Ndipo watakaponiita, lakini sitaitika; Watanitafuta kwa bidii, wasinione.


Mwenye kuwagawia maskini hatahitaji kitu; Bali afichaye macho yake atakuwa na laana nyingi.


Kwa maana mkiwasamehe watu makosa yao, na Baba yenu wa mbinguni atawasamehe ninyi.


Kwa kuwa hukumu ile mhukumuyo, ndiyo mtakayohukumiwa; na kipimo kile mpimiacho, ndicho mtakachopimiwa.


Wakati mwenye nyumba atakaposimama na kuufunga mlango, nanyi mkaanza kusimama nje na kuubisha mlango, mkisema, Ee Bwana, tufungulie; yeye atajibu na kuwaambia, Siwajui mtokako;


Wakapiga kelele kwa sauti kuu, wakaziba masikio yao, wakamrukia kwa nia moja,


Lakini mtu akiwa na riziki ya dunia, kisha akamwona ndugu yake ni mhitaji, akamzuilia huruma zake, je! Upendo wa Mungu wakaaje ndani yake huyo?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo