Methali 14:32 - Swahili Revised Union Version32 Mtu mbaya husukumwa chini katika kutenda mabaya kwake; Bali mwenye haki ana matumaini katika kufa kwake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema32 Mwovu huangamizwa kwa matendo yake maovu, lakini mwadilifu hupata usalama kwa unyofu wake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND32 Mwovu huangamizwa kwa matendo yake maovu, lakini mwadilifu hupata usalama kwa unyofu wake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza32 Mwovu huangamizwa kwa matendo yake maovu, lakini mwadilifu hupata usalama kwa unyofu wake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu32 Waovu huangamizwa kwa matendo yao maovu, bali hata katika kifo wenye haki hupata kimbilio. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu32 Waovu huangamizwa kwa matendo yao maovu, bali hata katika kifo wenye haki hupata kimbilio. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI32 Mtu mbaya husukumwa chini katika kutenda mabaya kwake; Bali mwenye haki ana matumaini katika kufa kwake. Tazama sura |