Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 5:3 - Swahili Revised Union Version

3 Nimewaona wapumbavu wakishusha mizizi; Lakini mara niliyalaani maskani yake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Nimepata kuona mpumbavu akifana, lakini ghafla nikayalaani makao yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Nimepata kuona mpumbavu akifana, lakini ghafla nikayalaani makao yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Nimepata kuona mpumbavu akifana, lakini ghafla nikayalaani makao yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Mimi mwenyewe nimemwona mpumbavu akistawi, lakini ghafula nyumba yake ikawa imelaaniwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Mimi mwenyewe nimemwona mpumbavu akistawi, lakini ghafula nyumba yake ikawa imelaaniwa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

3 Nimewaona wapumbavu wakishusha mizizi; Lakini mara niliyalaani maskani yake.

Tazama sura Nakili




Yobu 5:3
12 Marejeleo ya Msalaba  

Mwasema, Yeye ni mwepesi juu ya uso wa gharika; Sehemu yao inalaaniwa duniani; Hageuki kwenda njia ya mizabibuni.


Maana tumaini la mpotovu ni nini, ingawa ajipatia faida, Hapo Mungu amwondoleapo roho yake?


(Naam, sikukiacha kinywa changu kufanya dhambi Kwa kuutaka uhai wake kwa kuapiza);


Maana waliobarikiwa na BWANA watairithi nchi, Nao waliolaaniwa naye watakatiliwa mbali.


Makambi yao na yawe ukiwa, Pasiwe na mtu wa kukaa hemani mwao.


Hata wasio haki wakichipuka kama majani Na wote watendao maovu wakastawi. Mwishowe wataangamizwa milele;


Kwa maana imeandikwa katika kitabu cha Zaburi, Kikao chake na kiwe ukiwa, Wala asiwepo mtu mwenye kukaa humo; tena, Usimamizi wake autwae mwingine.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo