Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 17:20 - Swahili Revised Union Version

Mtu mwenye moyo wa ukaidi hatapata mema; Na mwenye ulimi wa upotovu huanguka katika misiba.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mwenye moyo mpotovu hafanikiwi, na msema uongo hupatwa na maafa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mwenye moyo mpotovu hafanikiwi, na msema uongo hupatwa na maafa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mwenye moyo mpotovu hafanikiwi, na msema uongo hupatwa na maafa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mtu mwenye moyo mpotovu hawezi kufanikiwa; naye ambaye ulimi wake ni mdanganyifu huanguka kwenye taabu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mtu mwenye moyo mpotovu hawezi kufanikiwa; naye ambaye ulimi wake ni mdanganyifu huanguka kwenye taabu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mtu mwenye moyo wa ukaidi hatapata mema; Na mwenye ulimi wa upotovu huanguka katika misiba.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 17:20
11 Marejeleo ya Msalaba  

Kwake ajitakasaye utajionesha kuwa mtakatifu; Na kwa mpotovu utajionesha kuwa mkaidi.


Akonyezaye kwa jicho huleta masikitiko; Bali mpumbavu mwenye maneno mengi ataanguka.


Watu wenye akili huweka akiba ya maarifa; Bali kinywa cha mpumbavu ni uangamivu ulio karibu.


Kinywa cha mwenye haki hutoa hekima; Bali ulimi wa ukaidi utakatiliwa mbali.


Kwa maana mtu mbaya hapati thawabu; Taa ya mtu mbaya itazimika.


Maana mtu mjeuri ni chukizo kwa BWANA, Bali siri yake ni pamoja na wanyofu.


Kumcha BWANA ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia.


Maneno ya kinywa chake mwenye hekima yana neema; Bali midomo ya mpumbavu itammeza nafsi yake.