Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 16:17 - Swahili Revised Union Version

Njia kuu ya mwenye haki ni kujitenga na uovu; Yeye ashikaye njia yake huihifadhi nafsi yake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Njia ya wanyofu huepukana na uovu; anayechunga njia yake huhifadhi maisha yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Njia ya wanyofu huepukana na uovu; anayechunga njia yake huhifadhi maisha yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Njia ya wanyofu huepukana na uovu; anayechunga njia yake huhifadhi maisha yake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Njia kuu ya wanyofu huepuka ubaya; yeye aichungaye njia yake, huchunga maisha yake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Njia kuu ya wanyofu huepuka ubaya; yeye aichungaye njia yake, huchunga maisha yake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Njia kuu ya mwenye haki ni kujitenga na uovu; Yeye ashikaye njia yake huihifadhi nafsi yake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 16:17
16 Marejeleo ya Msalaba  

Palikuwa na mtu katika nchi ya Usi, jina lake alikuwa akiitwa Ayubu; mtu huyo alikuwa mkamilifu na mwelekevu, ni mmoja aliyemcha Mungu, na kuepukana na uovu.


Aendaye kwa unyofu huenda salama; Bali apotoshaye njia zake atajulikana.


Yeye aihifadhiye amri huihifadhi nafsi yake; Bali yeye asiyeziangalia njia zake atakufa.


Mtu azuiaye kinywa chake na ulimi wake, Atajilinda nafsi yake na taabu.


Miiba na mitego huwa katika njia ya mshupavu; Yeye aitunzaye nafsi yake atakuwa mbali nayo.


Linda moyo wako kuliko yote uyalindayo; Maana ndiko zitokako chemchemi za uzima.


Na hapo patakuwa na njia kuu, na njia, nayo itaitwa, Njia ya utakatifu; wasio safi hawatapita juu yake; bali itakuwa kwa ajili ya watu hao; wasafirio, wajapokuwa wajinga, hawatapotea katika njia hiyo.


Lakini mwenye kuvumilia hata mwisho, ndiye atakayeokoka.


bali katika kila taifa mtu amchaye na kutenda haki hukubaliwa na yeye.


Nami ninajizoeza katika neno hili niwe na dhamiri isiyo na hatia mbele za Mungu na mbele ya watu siku zote.


Lakini sisi hatumo miongoni mwao wasitao na kupotea, bali tumo miongoni mwa hao walio na imani ya kutuokoa roho zetu.


jilindeni katika upendo wa Mungu, huku mkingojea rehema ya Bwana wetu Yesu Kristo, hata mpate uzima wa milele.


Yeye awezaye kuwalinda ninyi msijikwae, na kuwasimamisha mbele ya utukufu wake bila mawaa katika furaha kuu;


Kwa kuwa umelishika neno la subira yangu, mimi nami nitakulinda, utoke katika saa ya kuharibiwa iliyo tayari kuujilia ulimwengu wote, kuwajaribu wakaao juu ya nchi.