Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 22:5 - Swahili Revised Union Version

5 Miiba na mitego huwa katika njia ya mshupavu; Yeye aitunzaye nafsi yake atakuwa mbali nayo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Njia ya waovu imejaa miiba na mitego; anayetaka kuhifadhi maisha yake ataiepa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Njia ya waovu imejaa miiba na mitego; anayetaka kuhifadhi maisha yake ataiepa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Njia ya waovu imejaa miiba na mitego; anayetaka kuhifadhi maisha yake ataiepa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Katika mapito ya waovu kuna miiba na mitego, bali yeye ailindaye nafsi yake hukaa mbali nayo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Katika mapito ya waovu kuna miiba na mitego, bali yeye ailindaye nafsi yake hukaa mbali nayo.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

5 Miiba na mitego huwa katika njia ya mshupavu; Yeye aitunzaye nafsi yake atakuwa mbali nayo.

Tazama sura Nakili




Methali 22:5
15 Marejeleo ya Msalaba  

Kwani ametupwa katika wavu na miguu yake mwenyewe, Naye huenda juu ya matanzi.


Awanyeshee wasio haki mitego, Moto na kiberiti na upepo wa joto Na viwe fungu la kikombe chao.


Aketiye mahali pa siri pake Aliye Juu Atakaa katika uvuli wake Mwenyezi.


Ufahamu mwema huleta upendeleo; Bali njia ya muasi huangamiza.


Yeye alindaye kinywa chake huilinda nafsi yake; Bali afunuaye midomo yake atapata uharibifu.


Njia ya mtu mvivu ni kama boma la miiba; Bali mapito yao wenye unyofu hufanyika njia kuu.


Njia kuu ya mwenye haki ni kujitenga na uovu; Yeye ashikaye njia yake huihifadhi nafsi yake.


Yeye aihifadhiye amri huihifadhi nafsi yake; Bali yeye asiyeziangalia njia zake atakufa.


Thawabu ya unyenyekevu ambao ni kumcha BWANA Ni utajiri, na heshima, nayo ni uzima.


Kuna mtego katika kosa la mtu mbaya; Bali mwenye haki huimba na kufurahi.


Njia ya waovu ni kama giza; Hawajui ni kitu gani kiwakwazacho.


jueni hakika ya kuwa BWANA, Mungu wenu, hatawafukuza tena mataifa haya mbele ya macho yenu, bali watakuwa mtego kwenu na tanzi, na mjeledi mbavuni mwenu, na miiba machoni mwenu, hadi mtakapoangamia na kutoka katika nchi hii njema, ambayo BWANA, Mungu wenu, amewapa ninyi.


Tunajua ya kuwa kila mtu aliyezaliwa na Mungu hatendi dhambi; bali yeye aliyezaliwa na Mungu hujilinda, wala yule mwovu hamgusi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo