Matendo 24:16 - Swahili Revised Union Version16 Nami ninajizoeza katika neno hili niwe na dhamiri isiyo na hatia mbele za Mungu na mbele ya watu siku zote. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Kwa hiyo ninajitahidi daima kuwa na dhamiri njema mbele ya Mungu na mbele ya watu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Kwa hiyo ninajitahidi daima kuwa na dhamiri njema mbele ya Mungu na mbele ya watu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Kwa hiyo ninajitahidi daima kuwa na dhamiri njema mbele ya Mungu na mbele ya watu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Kwa hiyo ninajitahidi siku zote kuwa na dhamiri safi mbele za Mungu na mbele za wanadamu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 Kwa hiyo ninajitahidi siku zote kuwa na dhamiri safi mbele za Mungu na mbele za wanadamu. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI16 Nami ninajizoeza katika neno hili niwe na dhamiri isiyo na hatia mbele za Mungu na mbele ya watu siku zote. Tazama sura |