Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 14:6 - Swahili Revised Union Version

Mwenye dharau hutafuta hekima, asiipate; Bali maarifa huwa mepesi kwa mwenye ufahamu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mwenye dharau hutafuta hekima bure, lakini mwenye busara hupata maarifa kwa urahisi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mwenye dharau hutafuta hekima bure, lakini mwenye busara hupata maarifa kwa urahisi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mwenye dharau hutafuta hekima bure, lakini mwenye busara hupata maarifa kwa urahisi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mwenye mzaha huitafuta hekima na haipati, bali maarifa huja kwa urahisi kwa anayepambanua.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mwenye mzaha huitafuta hekima na haipati, bali maarifa huja kwa urahisi kwa anayepambanua.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mwenye dharau hutafuta hekima, asiipate; Bali maarifa huwa mepesi kwa mwenye ufahamu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 14:6
24 Marejeleo ya Msalaba  

Unifumbue macho yangu niyatazame Maajabu yatokayo katika sheria yako.


mwenye hekima asikie na kuongezewa elimu, na mwenye ufahamu ayafikie mashauri yenye njia.


Shahidi mwaminifu hatasema uongo; Bali shahidi wa uongo, pumzi zake ni uongo.


Toka mbele ya uso wa mpumbavu, Maana hutaona kwake midomo ya maarifa.


Mwenye mzaha hapendi kukaripiwa; Wala yeye hawaendei wenye hekima.


Nini maana yake, mpumbavu kuwa na fedha mkononi mwake ya kununulia hekima, Ikiwa hana moyo wa ufahamu?


Hekima huwa machoni pake mwenye ufahamu; Bali macho ya mpumbavu huwa katika ncha za dunia.


Mpumbavu hapendezwi na ufahamu; Ila moyo wake udhihirike tu.


Kwa mpumbavu hekima haipatikani; Hafumbui kinywa chake langoni.


Je! Wamwona mtu mwenye hekima machoni pake mwenyewe? Afadhali kumtumaini mpumbavu kuliko yeye.


Maneno yote ya kinywa changu yana haki; Hapana hata neno lililopotoka au la ukaidi.


Yote humwelea yule afahamuye, Yote huelekea mbele yao waliopata maarifa.


Na waende kwa sheria na ushuhuda; ikiwa hawasemi kulingana na neno hili, bila shaka kwa hao hakuna asubuhi.


Wenye hekima wametahayari, wamefadhaika na kushikwa; tazama, wamelikataa neno la BWANA, wana akili gani ndani yao?


Mtu akidhani ya kuwa anajua neno, hajui neno lolote bado, kama impasavyo kujua.


Lakini mmoja wenu akipungukiwa na hekima, na aombe dua kwa Mungu, awapaye wote, kwa ukarimu, wala hakemei; naye atapewa.